Member mpya wenyeji mnikarimu

Huku wala huna haja ya kubisha hodi....we ingia tu jimwage kwa raha zako..ukichoka unasepa kimya kimya.

Huku tunaita uwanja wa fujo..kila mwenye ngoma yake anacheza mpaka inapasuka.

Yote yapo humu, ya uongo, ya ukweli, ya uzushi, mapovu, mipasho, mambo hadharani...ali muradi usije tu ukairushia Smart phone/ tablet au Lap top yako ngumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…