Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kubali hivyohivyo.Nakuchangamsha tu.Mimi sikuchakazi kama afande aliyewatisha CDM wasiandamane.Anyway,unajisikiaje saa hii unavyowasiliana mubashar na JF members?Doesn't it feel good?Daah mkuu..usiwe hvyo..[emoji23]
Unatamka id utadhani unatafuna matobholwa!😂Yaani, unaanzaje kutag ID ndefu hivyo mkuu.
Hahaha kausha mkuu utamfanya member mpya arudi mafichoni.Unatamka id utadhani unatafuna matobholwa!😂
Kwakweli nimefarijika Sana mkuu...na mimi ni mlevi wa kupindukia wa JFKubali hivyohivyo.Nakuchangamsha tu.Mimi sikuchakazi kama afande aliyewatisha CDM wasiandamane.Anyway,unajisikiaje saa hii unavyowasiliana mubashar na JF members?Doesn't it feel good?
Atakuwa hana kifua kigumu.Avumilie hivyohivyo.Hata mimi id yangu iliwapa shida wakuu fulanifulani.Hahaha kausha mkuu utamfanya member mpya arudi mafichoni.
Karibu sana in shambaa's voiceBaada ya kua msomaji wa nyuzi mbalimbali kwa takribani miaka 12..Leo kwa hiyari yangu mwenyewe bila kushurutishwa na mtu nimeamua kujiaunga rasmi JF ..
Karibu boss wangu.Come karibu!Kwakweli nimefarijika Sana mkuu...na mimi ni mlevi wa kupindukia wa JF
Ni furaha Sana...
Nilijaribu kufanya hivyo lakini ikaonekana tayari Kuna mshirika anatumia jina Hilo mkuu...Ingawaje kuhusu connection nadhani busara tu itatumika..Mimi kama mshiriki katika ukaribisho nashauri ujiite nzokayape tu, mambo ya mwanampondasoni yatakukosesha connection humu mkuu.
Hahaha kwamba unamuhoji.Kubali hivyohivyo.Nakuchangamsha tu.Mimi sikuchakazi kama afande aliyewatisha CDM wasiandamane.Anyway,unajisikiaje saa hii unavyowasiliana mubashar na JF members?Doesn't it feel good?
Kweli bhana imeshabebwa sasa itakuwaje?.Nilijaribu kufanya hivyo lakini ikaonekana tayari Kuna mshirika anatumia jina Hilo mkuu...Ingawaje kuhusu connection nadhani busara
[emoji23][emoji23] daahUnatamka id utadhani unatafuna matobholwa![emoji23]
Ilikuaje mkuu...?? [emoji23]Atakuwa hana kifua kigumu.Avumilie hivyohivyo.Hata mimi id yangu iliwapa shida wakuu fulanifulani.
Asante Sana mkuuKaribu sana in shambaa's voice
Isome id yangu halafu uitamke harakaharaka.Ilikuaje mkuu...?? [emoji23]
Basi nafikiri ni jina la kwanza...nitalifanyia Kaz Hilo mkuu...Kweli bhana imeshabebwa sasa itakuwaje?.
Hahaha mimi nilikuwa najua ni mwalimu wa geography.Atakuwa hana kifua kigumu.Avumilie hivyohivyo.Hata mimi id yangu iliwapa shida wakuu fulanifulani.
Nomaa Sana mkuuIsome id yangu halafu uitamke harakaharaka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha mimi nilikuwa najua ni mwalimu wa geography.
Kwann mkuu??Njoo ulipe ushuru kwa jfpesa