Najikubali mwenyewe.
Sizzya007
Prime Minister wa serikali ya makapukuππ
Kwani huwa unasikia mimi niko wapi?
Unabeba boxes ughaibuni.
Kama huwa nadanganya je?
nimekubali ila hapo kwenye prime minister kama sijakuelewa hivi
Kama unadanganya, shame on you!
Mhhhhhhh,hilo si bwabwa jamani?namkubali kikohozi
Ngoja nigonge like kabisa aiseeeeAsigwa