Watumiaji wa Deal Na 1. Naomba mnisaidie kitu kimoja. Nina Dollar 6 nataka Niongezee zingine 4 ili Ziwe 10 na niendelee kupiga Mkwanja. Sasa Kama Kuna Mtu alishawahi kuweka Hii pesa tuelekezane Wajomba.
Because when balance Inapokuwa kubwa na Commission ina-rise