Member wa Kampuni ya Deal No. 1

Member wa Kampuni ya Deal No. 1

lete rimoti

Senior Member
Joined
Aug 24, 2021
Posts
152
Reaction score
196
Watumiaji wa Deal Na 1. Naomba mnisaidie kitu kimoja. Nina Dollar 6 nataka Niongezee zingine 4 ili Ziwe 10 na niendelee kupiga Mkwanja. Sasa Kama Kuna Mtu alishawahi kuweka Hii pesa tuelekezane Wajomba.

Because when balance Inapokuwa kubwa na Commission ina-rise
 
Ama kweli kumbe huwezi kukosa watu wakupiga ukiamua kuwa mpigaji
 
Watumiaji wa Deal Na 1. Naomba mnisaidie kitu kimoja. Nina Dollar 6 nataka Niongezee zingine 4 ili Ziwe 10 na niendelee kupiga Mkwanja. Sasa Kama Kuna Mtu alishawahi kuweka Hii pesa tuelekezane Wajomba.

Because when balance Inapokuwa kubwa na Commission ina-rise
hapa ukianza na dolla10 hela yako itajidouble ndan ya siku 23 ndo unakua na 20usdt
 
Back
Top Bottom