Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Mpwa we acha tu....

Yaani vijana walishaanza kunitazama kwa jicho la kimombasa
Hahahahha ewaaah hata mm nikataka kukimbia kutoka dom mpaka huko nalinjilinji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nije nikuzooom kwa karibu mpwaa maaana umejua kunichekesha leoooo
 
Siamini macho yangu, ivi ni kweli tunguli za mganga zimeanza kupwaya kiasi hichi.....

Ngoja nianze kupiga jeramba maana muda si mrefu naweza kuhongwa mpunga wa kueleweka na huyu mke wa mganga....

Amaa kweli Golden chance never come twice!!![emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kuna kale ka wimbo ka "manfongo" kuhusu mashemeji, nakapendaga sana mkuu. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom