Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Mmmmh! Waswahili wanasema "kataa neno.... uskatae wito....." lakini huko nlikoitwa Mmmmmh.... yani ni kama nione missed call ya kidoti..... lazima mwili upatwe na homa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu bora wewe hujatajwa.... shukuru sana.... Mi nimetajwa na kidoti..... hapa yanagonga, yanarudi! Chochote utakachoskia kimenipata ujue chanzo ndio hicho!
Hahahahha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa umepata bahat bado pressure juuujuuuu why?
 
Ndugu mjumbe, naona bahati imekuangukia.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Yaani umeokota dodo chini ya mchongoma....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Homa ya dengue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bahati hiyo
Dengue namdengulia tu, ngoma inakuwa droo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…