Member wapenda kucheka ninaowajua ndani ya JF

Sema mwanangu Extrovert, mchekaji mwenzangu, kuna thread mpaka za msiba nakutaga reaction yako ya kucheka, nabaki kushangaa..
Afadhali! mimi nawambia wanaomtetea basta raimz,watakua hawajamfuatilia au sio wafuatiliaji wa mambo kbsa.

Hii jamaa ni inacheka kiasi kwamba nahsi hata ringtone ya simu yake kaeka yule mtoto anaechakaga kukaukia...
 
Oh yeah..Viva Magufuli
Mtu Jiwe bin Magufuli alisha kufa zamaniiii!! nakuzikwa nashangaa lile lililo kufa ni dude tu! lkn hamjui!...halafu huyo jamaa extrovert sijui madude gani!

wala usimpe bichwa eti anapenda kucheka na kulike! bali Button zingine za simu yake zimekufa zooote! ina rubber Band ni utakaa chini!! Button inayo fanya kazi ni button hiyo moja tu!

Jamani kweli hii haki?? si masimango sasa haya!! mie spendagi kuibonyeza lkn ndo iliyopo!!!!!1


kama mleta mada umeamua kumsaidia msaidie tu!! siyo unamsimanga mwenzako humu Mambo ya kijiweni yaachegeni huko huko! Mwana Jf mwenye roho safi atume simu mpya in box km ameguswa!

jamaa hali wala kunywa kwa ajili ya hili tu!! kumbe nimeona humu mtu unaweza kufa ukiumbuliwa! anahangaika kubadili Avatar lkn Jf Wamemkatalia!
 
Nimekugongea kicheko kwenye huu uzi. Kama huamini kakague
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…