BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Sio muhimu kuweka avatar. Tunataka hoja zenye mshiko.
Mshiko pesa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio muhimu kuweka avatar. Tunataka hoja zenye mshiko.
akanambia eti kukaa kote mjini hupajui palm beach, hahahaha nilicheka sana
Member wengi waliopo Jf ambao hawajaweka avator hawajui kuapload.
Aisee na mimi n mmojawapo wa member waliojiunga hv karibun bt nmesoma malalamiko yako labda nikute suluhu siioni zaidi kulalamika....personally natumia cmu na Avatar walah c jui.....Avatar n nn! Inahitaji kufanya nn kuipata na umuhimu wake ni nni!
ahahahahaa....alisema uende na taxi ndo kutanoga halafu kurudi hata kwa mguu tu utafika
By peterchoka :
kama natokea manzese nipande gari gani wakuu
wangu? thanks in advance
Palm beach pananoga ukienda na Taxi ila ukiwa
unarudi Kwenu Manzese si vibaya hata ukirudi
kwa Guta au kutembea na Tz 11 yako
yaani kupajua hapo mwenyewe ndo kaona kamalizg dah!!!!! ila nilifika fresh tu
Member wengi waliopo Jf ambao hawajaweka avator hawajui kuapload.
Yeah ndivyo ilivyo kama unabisha andamana mpaka ofisi ya wazri mkuu
Cc Salary Slip johnthebaptistMember wengi waliopo Jf ambao hawajaweka avator hawajui kuapload.
Yeah ndivyo ilivyo kama unabisha andamana mpaka ofisi ya wazri mkuu
Kazi kuwafuata mababu PM, Ndiyo unachokiweza.Wewe jisifie lakini ukweli unaujua kua avatar hiyo uliweka juzi baada ya kulia sana pm nikufundishe!