Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Aaah umenishinda weweShindwaaaa saaiitaaaani..!!
Baba Peter, Mpende Mama Peter huyo ndiye mwanamke pekee wa shida na raqha..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah umenishinda weweShindwaaaa saaiitaaaani..!!
Baba Peter, Mpende Mama Peter huyo ndiye mwanamke pekee wa shida na raqha..!
Kumbe una kashuzi small size ..?
Sio small size mkuu..hakapo kabisaKumbe una kashuzi small size ..?
Kula kula sana ikue kue ndo ataaacha kukutenga
Ndo maana basi kwanza mbona Behaviourist anasema ipo ipo kubwa tu?Sio small size mkuu..hakapo kabisa
Wacha weee aliiona wapi
Eti anasema ndotoniWacha weee aliiona wapi
AiseEti anasema ndotoni
Sasa mbona hiyo ni fashion baba mzazi?Nitakuruhusu siku utakapo acha kuvaa jeans chini ya magoti na kunyoa kama singeli...☹️
Ha ha ha[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Enzi zangu nilikua kijana mstaarabu, hadi mtaani nilikua naheshimika sana...Sasa mbona hiyo ni fashion baba mzazi?
Enzi zako si ulikuwa unavaa mzee
Hahahah kwani mzee mbona macho mekundu sana ama umeshapata faru Joni bar kwa Dada mwajuma?Enzi zangu nilikua kijana mstaarabu, hadi mtaani nilikua naheshimika sana...
Tena sikua na mambo ya hovyo kabisa...View attachment 1661656
Ndio namalizia haka kaliko bakia mwanangu, ebu fanya wepesi baba yako nikule raha kwenye dunia...[emoji12][emoji12]Hahahah kwani mzee mbona macho mekundu sana ama umeshapata faru Joni bar kwa Dada mwajuma?