Members 'ninaowakubali' zaidi humu jf

Members 'ninaowakubali' zaidi humu jf

Hiyo ni kweli kabsa. Ndio maana mwshoni nikasema wapo wengi ila hao ni baadhi. Nadhan ata ww kuna baadhi ukikutana na michango yao unawakubalu sana.

Mfano mm nikiingia jf nikakutana na mada imeandikwa na mshana jr au The Bold lazma niisome

Kuna watu nikiingia nikakuta wamepost kitu na like kwanza ndio naanza kusoma ili baadae nitoe maoni yangu.
 
Kuna watu nikiingia nikakuta wamepost kitu na like kwanza ndio naanza kusoma ili baadae nitoe maoni yangu.
Uki like kwanza maana yake unawakubali zaidi na huwez kukuta wamekuangusha. Hawa ndo tunataka sasa watambue kwmb tunawakubali.
 
Heshima kwenu wakuu.

Kwa muda ambao nmekaa humu jf nmetokea kuwakubali zaidi baadhi ya watu na kutamani hata kuwafahamu nje ya Jf kutokana na michango na mada zao. Sio kwamba wengine siwakubali hapana. Ila hawa wafuatao nawakubali zaidi.

1. mshana jr : Huyu jamaa mwanzo nilkuwa namuogopa kwa kudhania labda ni mchawi ila sikukosa kufuatilia mada na michango yake. Kadiri siku zilivyosogea ndivyo nilivyoanza kumuelewa vizuri sana. Akiweka mada anaifuatilia mpaka mwisho na anajibu maswali ya wachangiaji bila kinyongo wala hasira.

Binafsi namshukuru sana maana nmewahi kuwasiliana nae nje ya jf na akanipa ushauri ambao ulinisaidia sana.Natamani siku moja nikutane nae ana kwa ana. Popote ulipo mshana jr pokea shukrani zangu.

2. The bold: Kati ya watu waliobarikiwa vipaji basi The Bold ni mmojawapo. Ana kipaji cha uandishi wa story na makala mbali mbali za kuvutia sana. Ni mtu ambae simuelewi elewi sana maana akianza masuala ya intelijensia ataandika utadhani alikuwepo wakati tukio linatokea. Huyu jamaa sjuhi ni mtafiti au vipi.

Natamani awe rafiki yangu hata tuwe tunawasiliana tu Namkubali sana hasa akianza masuala ya usalama ambayo huwa nayapenda toka utotoni. Kwahyo story zake huwa znanivutia sana.

3. Sky Eclat: Huyu nadhani ni mwanamama na fikra zangu ni mtu muelewa sana. Huyu nae huwa navutiwa sana na michango yake sana humu jukwaani. Naye natamani awe rafiki yangu.

Ni wengi 'ninaowakubali' lakini hawa ndo nawakubali zaidi kwa muda mrefu niliokaa jf. Huo ni mtazamo wangu kwa watu hao.

Km na ww una members unawakubali na kwanini unawakubali funguka hapa.
I'm humbled mkuu
 
Ni vzuri lakini ni vzur zaidi kutambua michango wa wenzetu.
Ni kweli mkuu
Binafsi nawakubali wengi, lkn kuna mada fulani kuhusu ukimwi kule jamvi la jf doctor. Deception amebalisha akili yangu kabisa. Sasa situmii kondom tena kwa sababu ya hoja zake.

Hongera sana DECEPTION
 
mnyama ONTARIO namkubali sana kwa thread zake za kutia motisha juu ya maisha .
ONTARIO nmemkubali kwa kiasi chake maana kuna mada zake zimenigusa sana. Mkuu ONTARIO popote ulipo nmekuelewa hata mm. Unaweza kupangilia hoja zako. Sjakuweka katika list kwa sababu nmesoma mada zako tatu tu na bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako. Muda ukifka najua nitakupa heshima yako. Japo mpk sasa nmekuelewa na umenitia moyo sana Bado naendelea kukusoma.

Kuna huyu mdada anaitwa Heaven Sent huwa namuelewa sana. Anajua kutoa ushauri, kutia moyo na kufundisha neno la Mungu. Akiingia ktk mada inayohitaji ushauri huwa anaitendea haki.
 
Nguruvi3 kapotelea wapi!?
Heko mshana Jr
Heshima kwako Pasco wa jf
Nakusalimu Paschale Mayalla
 
Wengne unawakubal kwa kpaj chao cha Copy n paste. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Sasa sisi tufanyeje? ebu sema basi au kama vipi toa na orodha ya usiowakubali
 
Back
Top Bottom