Nakuzooomm tuNaikubali sana hii kapo tuliiiiiiiivvuuu kabisa ya Le great king Smart911 na his queen [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Lebig dadaa Money Penny mama la mama... na kiben ten chake 50thebe tehtehteh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
DJ Sepetu mwenyewe the hooooossttt na joanah pembeni
Mwifwa the don rafiki mpenzi apendwaye na cha mdeko wa jf..
Bila kusahau Mama Sabrina muke ya Gggggggggg....
Na wengine woooote wanaonikubali
Nawapenda sana [emoji120] [emoji120] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Usinisahau na mimi kunipenda, ni ruksa kupenda mtu zaidi ya mmoja[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Namkubali mme wangu Mshana Jr
Yani najivunia kupendwa na Mshana alafu ana madini balaaa huwa ananidrive crazy nikisoma post zakeee
Nakupendaaaa sana .
Mmmmmmmmwaaaaaaa charm decor wanguNamkubali mme wangu Mshana Jr
Yani najivunia kupendwa na Mshana alafu ana madini balaaa huwa ananidrive crazy nikisoma post zakeee
Nakupendaaaa sana .
Naikubali sana hii kapo tuliiiiiiiivvuuu kabisa ya Le great king Smart911 na his queen [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Lebig dadaa Money Penny mama la mama... na kiben ten chake 50thebe tehtehteh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
DJ Sepetu mwenyewe the hooooossttt na joanah pembeni
Mwifwa the don rafiki mpenzi apendwaye na cha mdeko wa jf..
Bila kusahau Mama Sabrina muke ya Gggggggggg....
Na wengine woooote wanaonikubali
Nawapenda sana [emoji120] [emoji120] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Hahahahaha Pole sana shemlakee mi mwenyewe nishammiss dadalake mpaka naumwa hapa sijui watamfungulia lini jamaniShemeji mahondaw hata kunipa pole π
Mods wameleta janga, wamempa BAN Honey wangu Money Penny . Sina raha kabisa. Bora kutekwa kuliko hizi BAN za JF. Zinaumiza. Wikendi kuwa ndefu sana hii.
Mhariri na timu yako, fanyeni hima mumfungulie Honey wangu Money Penny. Ujumbe mliokusudia kuufikisha umefika. Mmeona wenyewe jukwaa letu hili pendwa lilivyopoa na kupooza bila Money Penny. [HASHTAG]#Mfungulieni[/HASHTAG] Honey Money Penny. Imetosha.
Hahahahaha Pole sana shemlakee mi mwenyewe nishammiss dadalake mpaka naumwa hapa sijui watamfungulia lini jamani
Cc Smart911
Hahahahaha... Hivi Ile chambichambi ya juzi ndo source ya ban?? mmemiss sana jamani story imekwama akirud sijui atakumbuka alipoishia doh!Sijiwezi kabisa. Sema tu ukubwa dawa. Mhariri na wenzake watatuelewa. Wamtoe kifungoni. Kaachiwa Babu Seya na vijana wake, sembuse Honey Money Penny ? Thubutu!
Sjakusahau kabisa na weee kampany yakoo hapa jf ni balaaaaaaaaaa nilikuwa bado natype umeniwahi tuUsinisahau na mimi kunipenda, ni ruksa kupenda mtu zaidi ya mmoja[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahahahaha... Hivi Ile chambichambi ya juzi ndo source ya ban?? mmemiss sana jamani story imekwama akirud sijui atakumbuka alipoishia doh!
Cc Smart911
Comment kama hizi huwa zinanisisimua mwiliiiiiMmmmmmmmwaaaaaaa charm decor wangu
Daa huyo kiranga ni mtata sanaEbwana kuna
nyani ngabu uyu kiumbe hatari sana
Kuna father house mshana jr
Kuna the bold
Kuna kiranga
wapo wengi