Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana.Ningeandika comment ndefu sema ninadrive nikifika home nitaeleza vizuri.
Ila yote kwa yote kujisifia umasikini ni upuuzi wa hali ya juu.Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).
Kila mtu alishazinguana na askari wa usalama barabarani (traffic) akiwa anaendesha gari lake binafsi.
WanaJF Bwana!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ila yote kwa yote kujisifia umasikini ni upuuzi wa hali ya juu.
Biashara gani mkuu? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]Kabisa mama, Mimi katika kufanya biashara nimekutana na watu Wa JF wengi sana, wengi watu wazito ila humu wanachat upuuzi
Nadhan wanakosa pakusemea JF ndo mahala pao
Yaaah[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mimi buhongwa airport alfu nashuka kona ya bwiruMmh maskini wee mie tu ndo mteja wa daladala za igoma airport,igoma buhongwa,airport buhongwa,igombe,mzunguko luchelele,maili moja mzunguko,buswelu etc.
Kama kawaida kabsa askari wanguChalii naona life lipo normal kabisa jf
For realKabisa kaka na hiyo ndio dawa ya humu jf.
Visivyo na maana ni vya kuviangalia na kuvipotezea.
Mkuu napitia business proposal ya family company, hawa graduates wasikuiz bwana yan hawawezi kuandika hata 1Billion kwa Tarakimu, nikimaliza ntaandika uzi murefbado una[emoji594] [emoji593] [emoji592] mkuu??
Haya kiongozi..tunasubiriMkuu napitia business proposal ya family company, hawa graduates wasikuiz bwana yan hawawezi kuandika hata 1Billion kwa Tarakimu, nikimaliza ntaandika uzi muref
CosmeticBiashara gani mkuu? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Tokea 1/8/2017Hii reseach yako umeifanya kuanzia lini
nahuja mwenyewe mleta uziChanzo cha habari!
hahahahahahahaha, hakuna bamia huku hahahahahaahahahahahHahaha... Yaani huku sifa ni kujisifia....umesahau kitu kimoja WANAUME WA HUKU WOTE WANAJISIFIA KUWA WANA DUSHE/HOGO KUBWAA....huku hakuna mtu ana admit kuwa yeye ni mwanaume wa dar....teh teh teh
Usisahau siku kuna route ya Nyamhongolo via MECCO kwenda hospitali ya SEKOUTOURE, pia kuna Kishiri/Kisesa - Bwiru, pia kuna Pansiansi Via Buzuruga kwenda Buhongwa hahahahahahahahahahMmh maskini wee mie tu ndo mteja wa daladala za igoma airport,igoma buhongwa,airport buhongwa,igombe,mzunguko luchelele,maili moja mzunguko,buswelu etc.