Du!Teh teh teh CHIRIKA MTABIRI naona sifa yako hapo juu.
Ya pili kutoka mwisho ya kwanza kutoka katikati ya katikati kutoka juu ya juu kutoka juu
Njaa kali haoWengine utasikia Nina gari...nina simu kali...namiliki biashara kubwa... Kumbe hamna kitu
hahahahahahahahaahahahNingeandika comment ndefu sema ninadrive nikifika home nitaeleza vizuri.
hahahahahahaha, aiseee!Hahahahahaha duuu nimeshuka kwenye private jet yangu ili niisome hii thread.....
hahahahahahahahahaahahahahahahahaKasoro mimi tu humu yaan kila mtu tajiri humu woiiii na wote wanadrive utasikia nipo kwenye foleni kumbe mtu tupo nae tumeshikilia bomba la mwendo kasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Wewe.. . Kwenye kasri lake la Tabata ni kama machinjio ya Vingunguti. Videmu huwa vinalalamika jamaa ana mashine kama ya punda lakini bado vinapanga foleni kubanduliwa. Pesa ni sabuni ya roho
Si unajua tena kizazi cha kidigitali kila kitu tunakariri tuu..[emoji1][emoji1]Mkuu napitia business proposal ya family company, hawa graduates wasikuiz bwana yan hawawezi kuandika hata 1Billion kwa Tarakimu, nikimaliza ntaandika uzi muref
Umaskini ni dhambi?[emoji15]Yaaah
Tena mwengine yupo busy kabisa anajisifia anakula mlo mmoja kwa siku WTF.
Umaskini ni dhambi kubwa sana hautakiwi kuikaribisha wala kuusifia.
umeona eeNjaa kali hao
six packsUmeonaee kila mtu baba yke anakampunii, mazuri wanasixpark
Habari yako