Members wa JF bwana!!!!

Aya sasa nikisema watanzania msi clarify kabila fula eti lina tabia flan mnabisha! Mtu kua na tabia flani ni uniqueness au inborn tendency,, nikiwa namanisha hiviiii sio kila msukuma ni mshamba, bali wapo wengi wajanja, wapenda sifa, waroho, wachawi etc,, ila pia sio kila muha ni mbishi, sio kila mchaga ni.... Hivyo yaniii, hivyo basi naomba ni declare kwamba si kila MUHAYA anapenda misifa,, mfano sasa hapa Jf hili swala nimeliona sijui tu generelaze kwamba wote ni wahaya hapa [emoji55][emoji55] sijui wenzangu ninyi mnaonaje!!!


Mawazoyangu lkn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaha JF sio kwamba wote ni wahaya au wanatabia za kihaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…