Mnipitie bhanaa.... Nikaemo hata siku tatu tuu jamanii!!!!
Tatu tu? Lazima ukae wiki...Mnipitie bhanaa.... Nikaemo hata siku tatu tuu jamanii!!!!
HahahaTatu tu? Lazima ukae wiki...
Hatutakagi mchezo na wageni...
Hahahahahaha duuu nimeshuka kwenye private jet yangu ili niisome hii thread.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani humu bhanaa kama huna moyoo utajuta... Huwa najuaga mie mwenyewe ndo nagombania matatu!!! Maana humu kila mtu anagari hao wa Chiini saaana wapo wenye Meli humuu!!!!
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] sio mbayaKama vipi nikuazime kacertificate kangu ukafungue kiwanda kidogo.
bado una[emoji594] [emoji593] [emoji592] mkuu??Ningeandika comment ndefu sema ninadrive nikifika home nitaeleza vizuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wengine utasikia Nina gari...nina simu kali...namiliki biashara kubwa... Kumbe hamna kitu
Kama hivi [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] au [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).
Kila mtu alishazinguana na askari wa usalama barabarani (traffic) akiwa anaendesha gari lake binafsi.
WanaJF Bwana!
Mmmmmh.nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
duh.sijui maana mimi hakunibandua . yule mzee hana tabia za kipuuzi navomjua lakini