Members wa JF bwana!!!!

Dah yan hauwezi amin mda huu naingia jf nakutana na post hii alafu apa nabuku tu mfukon kisha napitia pitia comment nakutana na ile ya miss natafuta akimuelezea super rich asiye na bwebwe naendelea kusoma maelezo nakutana na maneno ya mwisho ya miss natafuta naanza kufikilia namna ya kuwasiliana naye maana dah ali sio poa kwangu na yey kasma ana chimbo na kama alivyomalizia Maisha ya umu jf hayana uhalisia

Nimeandika nkiwa nimechoka Miss Natafuta [HASHTAG]#missnatafuta[/HASHTAG]
 
Yaani humu bhanaa kama huna moyoo utajuta... Huwa najuaga mie mwenyewe ndo nagombania matatu!!! Maana humu kila mtu anagari hao wa Chiini saaana wapo wenye Meli humuu!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hivi [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] au [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]








 
Mmmmmh.

Chai imezidi sukari.

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Me niko hapa sina gari, sina nyumba, sina pesa, sijasoma nimepanga uswazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…