Members wa JF waliojiunga 2007 njooni tusemezane

May be lakini hawawezi kuwa wote

Enzi za JAMBO FORUMS kulikuwa Na muda motomoto. Ilikuwa inakata raha sana.

Nakumbuka UKUMBI ambao binafsi nilikuambia naenda sana kidunia Na kuchangia ni wa LUGHA, PALE KUNA SEHEME YA MASHAIRI.

ilikuwa mtu ukiweza shairi unaniriwadha kwa shairi. Na kulikuwa Na watubu mahiri wa MASHAIRI.

Lakini wajanja walipokuja ku-hijack page Na ndo mwisho wa JAMBO FORUMS.

Leo Kamili Forums ipi vizuri lakini bado HAIWEZI kupata jambo forums. Hii imevamiwa Na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi Na vyama VYA siasa. Ndio maana JF inatakiwa macho sana Na wataalamu wa kisiasa.

Kwa wale members wa JAMBO FORUM, kule mm binafsi nilikuwa na-log in as MIZAMBWA, sijabadilisha id yangu. Lakini members wengine siwaoni humu bila Shaka wamebadilisha Id.
 
Nakumbuka member mmoja alikuwa anaotoa CRONY. Kulikuwa tuna pambana sana ktk MASHAIRI.
 
Aisee tupo sana sasahivi tumekuwa wasomaji tu majukumajni mengi
 
Mizambwa inaniuma sana, hii kauli mbiu yako mpaka leo sijajua maana yake
 
Naendelea kufuatilia huu mpambano mkali kati ya babu na wajukuu
 
Na itaendelea daima.....
Tupo mbona ila ndo vile
 
Write your reply...ngoja nipite kimya....... sent by tecno amber rutty using jamiiforums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…