Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Yan umeanza vizuri sana ila umekuja kupuyanga mwishoni eti umasikini. May be end like this that is ur opinion na kila mtu ana uhuru kutoa maoni yake

Nokia Jeneza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] dah mi yangu eti j5 jmn!
[emoji3] [emoji3] hiyo itakuwa toleo la ivi karibuni, ila sisi wa Y3+MUSIC ni wakongwe kwenye game ya tecno wereva.

brain is the beautiful part of the body.
 
Ah! Ukweli lazima usemwe bhana!
Binafsi mwanaume anaetumia tecno huwa namuona pompompo tu
Na mimi nayetumia Kibamia Tz
unanionaje ?

Sent from my KIBAMIA TZ Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3] [emoji3] hiyo itakuwa toleo la ivi karibuni, ila sisi wa Y3+MUSIC ni wakongwe kwenye game ya tecno wereva.

brain is the beautiful part of the body.
Kwahyo hizo ni za wahenga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wallah nilikuwa cjui DAT y nilikuwa najiuliZa hyo y3+music ndo sm gani!!!
 
Kwahyo hizo ni za wahenga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wallah nilikuwa cjui DAT y nilikuwa najiuliZa hyo y3+music ndo sm gani!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

brain is the beautiful part of the body.
 
Mimi je?

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
tecno ni daraja LA kati,comfortably.!
 
Arrogance za kimasikini mno.

Mafanikio hayapimwi kwa aina ya simu unayotumia.

Ni ushamba na ulimbukeni mkubwa Sana "kuhenyeka" kununua simu ya gharama wakati una mahitaji mengine ya muhimu zaidi ya hiyo simu.
 
Duuh mzee mpaka mama tena.? Hebu waishimiwe bhana. Mama ako ni mama angu pia.

Nokia Jeneza
Don't start nothing, there will be nothing.I don't do it. I overdo it.

Sijajibishana nawe, usiingilie maneno si yako.

Kuna siku utachomwa kisu cha nyonga kwamaneno usiyo bonga.

Mi si muhenga lakini maneno yangu yanabwenga.
 
Tecno whatever, I like it.

Sent from my TECNO PhonePad 3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…