Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Tecno uliiona wakati nam**** mama yako kwa kumsokomezea mkono wote mkunduni kwake mpaka kugusa utumbo wake?


Dah nimeshutuka hatari. Pole sana kwa kukwazika msamehe bure.
 
Kwan sisi wenye iphone za ml 3 tunacoment wap mbn sion jomonii

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
C hyo umerudi kaa hapa hapa tuvumilie vichamboo vya wnye samsung[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahaha bado wale wa apple wajika ntazima wereva yangu

brain is the beautiful part of the body.
 
mama mzazi mchukulie iphone,

sio umchukulie tochi,

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mimi huwa nawambia wachague wenyewe, simpelekei mtu kitu kwa kumchagulia, mwenye kuchagua SONY Experia sawa, mwenye Samsung sawa, mwenye IPhone sawa, nawapelekea tu, au wakija huku nawanunulia nawapa wanarudi nazo huko.

Ni vitu vya kawaida tu, given kwamba mtu anakuwa na uwezo wa kuzinunua hizo kumi kwa mpigo na kuzigawa kwa wanazotaka bila kufanya biashara.

Nimerudi bongo airport na mabegi yamejaa zawadi nawaambia customs hizi zawadi wamekataa, wamesema wewe lazima utakuwa unafanya biashara. Zawadi haziwezi kuwa nyingi hivi.Nawaambia sasa nimekaa Marekjani nyundo kumi, passport hii hapa, mnataka nije kitoto? Wamekataa. Sijauza hata kitu kimoja. Kuja kufanya hesabu likizonzimapamojana airfare zawadi etc imeni cost karibu $20,000.

Watu sasa hivi tunaongelea real estate in major cities of the world.

Halafu unakutana na mtu anaanza habari za kuringishiana simu.

Kachelewa sana maisha haya huyu.

Watu tunatafuta satellite phone yeye anaongea habari za Samsung/Iphone/Tecno ?

Watu tunaangalia habari za deal za kiwanda cha simu, yeye bado anashobokea simu?
 
Nainjoy JF na......

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Duh ..tecno?

Sent from my Falcon Supernova Pink Diamond iPhone 6 (Price: 95.5 Million U$)
 
Hahaha mbona kuna tecno very class kuliko samsung

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Mkuu unachosema kinafanana na ukweli, Mimi hapa TECNO hata iwe kali vipi sitainunua. sanabu kubwa ni jinsi walivyoingia sokoni waliingia very local kwa hiyo waliharibu brand yao wenyewe...

Najua kuna wengi tu hawatumii kutokana na mtazamo kama wangu, Mbona itel hawana shida na progress yao ni kubwa kuliko ilivyo Tecno...
 
Mimi ni mpenzi wa teknolojia mbalimbali.Labda niwaambie wale anti-tecno.

Tecno brand ni nzuri kwa basic function za simu ambazo ndio wengi wetu tunazitumia kila siku mf.kupiga,kutuma meseji na kuperuzi mitandao ya kijamii. Sidhani kama haya pekee yanahitaji mtu awe na iphone 7 ama Samsung S7!

Naongea nikiwa mmoja ya watu waliowahi kutumia hizo simu na sikukumbwa na tatizo lolote so far.

Kiukweli Tecno ziko njema in-terms of perfomance on the basics hasa katika utunzaji wake wa charge, ukizingatia kuwa kipindi wanaanza tu na smartphone zao makampuni mengi makubwa yalikuwa hayafui dafu katika hilo.

Kabla yao ilikuwa ili umalize siku lazma kuicharge android yako mara 3-5 kwa siku na hio ni katika heavy usage, tatizo likazidi hadi yakaletwa ma power bank yale. Mfano mzuri ni zile htc za mwanzo sense,desire na Galaxy s,ace, pocket n.k

Ila baada ya tecno kuja na N na P series tukazitumia hali ilikuwa tofauti. You would last up to 7 hours on a single charge on heavy usage. Kwa siku ukachaji mara 2 tu. Siku usipoichezea kabisa inakufikisha hadi masaa 12. That was somewhere 2009-2011.
So walishatengeneza legacy na sasa wameimarika maradufu katika hio sector unaweza pata up to 10+ hours on heavy usage katika matoleo yao mengi ukiachilia zile L series zinazokupa 12+ hours of heavy usage.

Ni baada ya muda sana ndio kampuni kubwa zikagutuka kuwa zinapigwa bao kisa battery efficiency mbovu. Nakumbuka 2013 ndio wengi waliamka kuwa a smartphone is also about battery power. Mapinduzi yakianzia kwa Sony, Lenovo, Motorola na brands nyengine zikafata tokea hapo ndio walau android zinazovumilia charge zikaanza kutufikia mtaani ila tecno walishakuwapo vyema zaidi.

So watu wanaosifia tecno musiwabeze, they are also satisfied customers ambao naamini portion yao walishatumia brand names kubwa za awali wakaona tofauti katika kukidhi haja zao za kimatumizi.

Mi siwezi kuwa biased kuacha ku acknowledge ukweli. Elewa!!!
 
Back
Top Bottom