Members wengi wa MMU ni vijana wa facebook, huwezi kuwaona kwenye mijadala mizito

Members wengi wa MMU ni vijana wa facebook, huwezi kuwaona kwenye mijadala mizito

Sisi wengine tumechagua mitandao ya kijamii kuwa sehemu ya kurefresh mind. Maana tunayofanya siku nzima yanatumia akilia kubwa.
 
Yaan sawa na kusema Jukwaa la MMU ni tawi la facebook. MMU members wanapenda sana mambo ya pampunchi!
Hili nalo ni tatizo la kukosa kujitambua. We unakulaje muhogo halafu unataka ladha yake iwe kama ya boga? Kila jukwaa lina utamaduni wake mkuu ndio maana mods hufanya kazi ya ziada ya kuiamishia nyuzi kwenye majukwaa yanayoendana na maudhui ya nyuzi husika,
 
Msaada, hivi MMU ni jukwaa gani? Naombeni kirefu chake. Tangu nimejiunga JF sijawahi jua hili neno maana yake.
 
Back
Top Bottom