ImeibiwaYenye pua na lips
Aisee pole sana.Imeibiwa
Ahsante sanaAisee pole sana.
PouwaAhsante sana
Hili nalo ni tatizo la kukosa kujitambua. We unakulaje muhogo halafu unataka ladha yake iwe kama ya boga? Kila jukwaa lina utamaduni wake mkuu ndio maana mods hufanya kazi ya ziada ya kuiamishia nyuzi kwenye majukwaa yanayoendana na maudhui ya nyuzi husika,Yaan sawa na kusema Jukwaa la MMU ni tawi la facebook. MMU members wanapenda sana mambo ya pampunchi!