Memberz wote wa jf someni hiiii

Kuna single ladiez, mamaz na bibiz? Wote tukutafute?[/QUOTE]

Hilo nalo neno!
 
hiki ndicho kilichonishinda huko kwenye facebook. vijana wanalugha ya kwaokwao tuu.
 
Members wt someni, af ladies Ndo wakujib mara great thinkers, umejielewa unachokitaka Kweli?
 
Nikiwa kama member wa jf umeniita niisome post yako halafu sioni kinachonihusu....hivi unafikiria kweli ndugu yangu?

Badili basi Kichwa cha Habari na useme shida yako unataka maladiez.
 
karibu sana hapa jf ila kuwa mtu wakutumia mwandiko unaoeleweka
kwani hapa sio fb twitter, whatapp wala ask, kama hautajirekebisha
basi viongozi wa jf watachukua nafasi yao kukukabang like :frusty::frusty:
na vilevile kwangu mm sio single niko couple ngoja waje hao single galz,
 
Karibu sana. I love your derby, ila sasa hizo x wenzio huwa hatuelewi manake umri ushasonga.

Kuna single ladiez, mamaz na bibiz? Wote tukutafute?
hahaaa!! whats your category then??

i hope ur a singular lady!!

tuanzepo na courtship kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…