Memberz wote wa jf someni hiiii

Memberz wote wa jf someni hiiii

Kuna single ladiez, mamaz na bibiz? Wote tukutafute?[/QUOTE]

Hilo nalo neno!
 
hiki ndicho kilichonishinda huko kwenye facebook. vijana wanalugha ya kwaokwao tuu.
 
Members wt someni, af ladies Ndo wakujib mara great thinkers, umejielewa unachokitaka Kweli?
 
Nikiwa kama member wa jf umeniita niisome post yako halafu sioni kinachonihusu....hivi unafikiria kweli ndugu yangu?

Badili basi Kichwa cha Habari na useme shida yako unataka maladiez.
 
karibu sana hapa jf ila kuwa mtu wakutumia mwandiko unaoeleweka
kwani hapa sio fb twitter, whatapp wala ask, kama hautajirekebisha
basi viongozi wa jf watachukua nafasi yao kukukabang like :frusty::frusty:
na vilevile kwangu mm sio single niko couple ngoja waje hao single galz,
hey wadau mko pouwaa? new member in the house of great thinkers! naipenda jf xanaaa na matarajio yangu ni kuwa gold member wa jf,kiukwel inasaidia kupata info za fasta na za uhakika though c zote ila zna effect flan hiviii,na 4 further info unaweza ukantafuta kupitia no.0756734797 especially single galz and ladyz cz i hav more thngz 4 u guyz,as usual nakaribisha maoni yenu
 
Karibu sana. I love your derby, ila sasa hizo x wenzio huwa hatuelewi manake umri ushasonga.

Kuna single ladiez, mamaz na bibiz? Wote tukutafute?
hahaaa!! whats your category then??

i hope ur a singular lady!!

tuanzepo na courtship kabisa!
 
Back
Top Bottom