Membe’s rudderless campaign

Membe’s rudderless campaign

Diplomatic corps imejaa majasusi. Hili linaeleweka dunia nzima.

Ila "jasusi" kwa standard za Tanzania si sawa na za kimataifa.

Membe kasoma shule inayosifika kusomesha majasusi, Johns Hopkins. Programs zao za International Relations ni source kubwa sana ya majasusi. Kuna mtu kwenye familia yangu alisoma hapo, akawa approached na serikali ya Marekani kufanya kazi za ujasusi, akachomoa.

Kwa hivyo ukiunganisha dots Foreign Service, Johns Hopkins utaona "jasusi" is feasible. Ila kwa standards za kibongo "jasusi" ni glorified kachero tu.

He is more like the late Dr. Mahiga - although Dr. Mahiga outshone him by far- than Willy Gamba.
Mwaka 2014 kuna akina mama fulani kutoka Tanzania walikamatwa msumbiji na wakasemekana kwamba ni makachero wa Tanzania..... wenyewe wanawaita "usalama wa Taifa" (informants?)

Kwa mionekano yao walikuwa wamejichokea sana, wamejifunga kanga na kaniki. Watu wakaanza kuwakejeli mitandaoni kwamba ati makachero gani wamefubaa namna ile.

Mimi sifahamu viwango vya kachero wa Kitanzania, lakini naamini ni watu wa kawaida sana wasio na utofauti wowote kama ambavyo wanakuzwa na kuonekana ni majitu fulani supernatural na yenye akili nyingi za kutisha.

Si ajabu baadhi yao hawajui hata kuzungumza Kiswahili sanifu (kama magufuli).

Uliposema viwango vya kachero wa Tanzania, nikawakumbuka hao akina mama waliojichokea waliokamatwa msumbiji.

Hawa majasusi uchwara wa Kibongo wanakuzwa sana kwa sababu za kisiasa tu na kutaka kutisha watu kwa kitu ambacho kiuhalisia hakipo.
 
Mwaka 2014 kuna akina mama fulani kutoka Tanzania walikamatwa msumbiji na wakasemekana kwamba ni makachero wa Tanzania..... wenyewe wanawaita "usalama wa Taifa" (informants?)

Kwa mionekano yao walikuwa wamejichokea sana, wamejifunga kanga na kaniki. Watu wakaanza kuwakejeli mitandaoni kwamba ati makachero gani wamefubaa namna ile.

Mimi sifahamu viwango vya kachero wa Kitanzania, lakini naamini ni watu wa kawaida sana wasio na utofauti wowote kama ambavyo wanakuzwa na kuonekana ni majitu fulani supernatural na yenye akili nyingi za kutisha.

Si ajabu baadhi yao hawajui hata kuzungumza Kiswahili sanifu (kama magufuli).

Uliposema viwango vya kachero wa Tanzania, nikawakumbuka hao akina mama waliojichokea waliokamatwa msumbiji.

Hawa majasusi uchwara wa Kibongo wanakuzwa sana kwa sababu za kisiasa tu na kutaka kutisha watu kwa kitu ambacho kiuhalisia hakipo.
Ndiyo hivyo.Watu wakisikia jasusi wanapata picha ya some Willy Gamba type dude.

Kumbe wengine choka mbaya.
 
Diplomatic corps imejaa majasusi. Hili linaeleweka dunia nzima.

Ila "jasusi" kwa standard za Tanzania si sawa na za kimataifa.

Membe kasoma shule inayosifika kusomesha majasusi, Johns Hopkins. Programs zao za International Relations ni source kubwa sana ya majasusi. Kuna mtu kwenye familia yangu alisoma hapo, akawa approached na serikali ya Marekani kufanya kazi za ujasusi, akachomoa.

Kwa hivyo ukiunganisha dots Foreign Service, Johns Hopkins utaona "jasusi" is feasible. Ila kwa standards za kibongo "jasusi" ni glorified kachero tu.

He is more like the late Dr. Mahiga - although Dr. Mahiga outshone him by far- than Willy Gamba.
Hivi, ni shahada ipi hapo Johns Hopkins University iliyo highly regarded?

Undergrad or grad?

I suspect it’s the former.

Na sidhani kama selection criteria na process ziko sawa.

Kwenye undergrad mchujo na ushindani ni mkali zaidi.

So Membe anaweza akawa alipata nafasi ya kusoma shahada yake ya uzamili hapo kwa sababu zingine, zaidi ya ‘academic standing’ yake.

Because, to be honest, he is just very average to me [and I’m being very charitable here].
 
Hivi, ni shahada ipi hapo Johns Hopkins University ili highly regarded?

Undergrad or grad?

I suspect it’s the former.

Na sidhani kama selection criteria na process ziko sawa.

Kwenye undergrad mchujo na ushindani ni mkali zaidi.

So Membe anaweza akawa alipata nafasi ya kusoma shahada yake ya uzamili hapo kwa sababu zingine, zaidi ya ‘academic standing’ yake.

Because, to be honest, he is just very average to me [and I’m being very charitable here].
Kama ulivyosema, generally speaking, ukisoma undergrad shule kubwa ina uzito zaidi ya graduate school.Graduate school ni rahisi zaidi kuingia.

Pia, selection process si sawa, hawa washua wengi walioenda vyuoni US kutoka serikalini Tanzania wamesomeshwa kwa visa za State Department's strategic interest.Wamepata waivers kibao based on politics.

Miaka mingi Mmarekani alijua huyu Benjamin Mkapa mfanyakazi wa serikali ya Tanzania akisoma Columbia University badala ya Beijing University, na baada ya miaka 30 akawa rais au Waziri huko kwao, Marekani itaweza kupata urahisi huko.Atakuwa alumni wetu tu.

Hawa washua waliosoma zamani US, wengi sana walisoma kama special projects za State Department.Yani hao wanakuwa wanafunzi fulani wanao represent mahusiano ya nchi na nchi. Kwa hiyo si selection tu, hata wanavyokuwa marked kunakuwa na political sensitivity msiangushe wanafunzi wa State Department. Ndiyo maana ukikaa na Membe ukaongea naye, halafu ukakaa na Mmarekani aliyesoma naye Johns Hopkins, unawez akumuona Membe lightweight.Of course kuna culture na ukweli kwamba Membe kapita kusoma tu pale, Mmarekani kazaliwa Marekani. Kuna unyonge na ujinga mwingine wa kutoka utotoni kuuondoa ukubwani chuoni ni kazi sana.

Membe ni lightweight sana.Kitu anachotegemea sasa hivi ku save face ni ukweli kwamba, ukiwa huna jibu kwa Watanzania, ukatengeneza some suspense ya uongo na kweli na drama za "goli la dakika ya 89", umemaliza kazi.

Wabongo watatunga wenyewe hadithi za kumalizia. Mara Membe Jasusi Mbobezi anajua alichopanga, mara katumwa na CCM, mara uzushi huu, mara uzushi ule.

Mradi wabongo uwape picha tu, story watatunga wenyewe kumalizia.

Kashawajulia hilo. Ndiyo maana anakuwa vague and elusive ku save face.

Lakini, jasusi mbobezi hawezi kuingiza hela kubwa kizembe na kuputwa airport kama alivyoputwa Membe, that is a rookies mistake ambayo hata mimi sifanyi.

Angenipigia simu mimi ningemuunganisha na wizzkids wa Wall St. kazi zao ku move money around internationally.

Membe ku fail kwenye hili kunaonesha hajawa tayari kuwa rais.Kwenye urais kuna ma espionage ya kimataifa mengi, kama kashindwa ku move money around tu, hawezi kuwa rais.
 
Mnachochambua ni utopolo mwingi.
IMG_20201023_153554.jpg
IMG_20201023_153557.jpg
 
Nawe umeleta utopolo 2.0.
Watu wengi wana matatizo ya kufikiri kwa kutumia mantiki.

1. ACT wana haki ya kikatiba ya nchi kumuunga mkono mgombea yeyote. Bila kujali chama.

2. ACT wana katiba inayowakataza kumuunga mkono mgombea wa chama kingine pale ambapo wana mgombea wao.

3. Katiba ya nchi ndiyo sheria mama.

4. ACT wana haki ya kuivunja katiba yao kwa sababu zao. Wataonekana wako inconsistent, lakini hilo halina maana hawana haki ya kuvunja katiba yao.

5. Mtu kunukuu katiba ya ACT, kitu ambacho mipaka yake inaishia kwenye chama, katika mjadala wa kijamii ambao mipaka yake haiishii kwenye chama, ni kukosa kuelewa kwamba tusio wanachama wa ACT hatujali katiba ya ACT inasemaje. Mjadala wa katiba ya ACT ni mjadala wa kwenye vikao vya ACT. Huku nje, katiba ya ACT ikisema wavae nguo za zambarau, halafu wao wakavaa nguo za rangi nyekundu, nyeupe na bluu, mimi nitawaona pengine hawana nidhamu na hawaifuatilii katiba yao, lakini si sehemu yangu kusema hawakutakiwa kuvaa hivyo. Kwa sababu katiba ni yao na inawezekana wameibadilisha usiku wa jana mimi sijajua bado. Na hata kama hawajaibadilisha, katiba yao si ya nchi, ni ya chama tu. Kwangu nisiye na chama naqngqkia katiba ya nchi na ethics.

Na ACT kuunga mkono mgombea wa chama kingine hawajavunja katiba ya nchi wala ethics.
 
Back
Top Bottom