Memorandum & Articles of Association-Please assist!

ahsanteni kwa muulizaji na alietoa hizo nakala.chamsingi tuwe makini kwenye kuedit,maana unawezakujikuta umeacha address ya kampuni nyingine kwenye kampuni yako.watanzania tuna fursa nyingi sana za kibiashara,tuzitumie jamani.
 
ungeandika ki inglish pekee ungeeleweka zaidi.

Nashukuru kwa ushauri na nitaufanyia kazi mara nyingine japo sidhani kama kueleweka lilikuwa tatizo kama unavyodai kwani hata kabla hujacomment nilikuwa tayari nimepata nilichokuwa nahitaji.Mungu ambariki aliyejitoa kwani yaonekana wengi wamenufaika kwa kujitoa kwake. Sikuandika vile kwa kuwa naabudu kiingereza au ninadharau kiswahili lahasha mkuu imetokea tu.
 
POLENI NA UJENZI WA

Sorry, for some reason ninataka kufungua kampuni itakayo husika na maswala ya usafi ila tatizo sijajua tofauti zilizopo kwenye memorandum and article of association kati ya private company by shares na private company by guarantee naombeni msaada wenu wakubwa,na kama kuna sample naomba mnisaidie wazee tafadhali
 
asante kwa hizo documents. ninasikia sheria inasema lazima ma-director wawe wawili, je hiyo inaamaanisha hata shareholders pia lazima wawe wawili? au ninaweza kumiliki 100% , ma-directors wakawa watendaji tu wasio na hisa?
 
asante kwa hizo documents. ninasikia sheria inasema lazima ma-director wawe wawili, je hiyo inaamaanisha hata shareholders pia lazima wawe wawili? au ninaweza kumiliki 100% , ma-directors wakawa watendaji tu wasio na hisa?
kwa upand wa private company, directors lazima muwe wawili kwenda mbele, pa directors munaweza kuwa wote mulio na share kwenye kampuni au mmoja wenu anaweza akawa anashare 100% akachagua madirector wawili wengine au yeye akawa director na mtu mwingine asiekuwa shareholder akawa director.. .ngoja wengine waje pia watoe ushauri wa kitaalamu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…