Mara nyingi hizo kazi huwa wanaandaa wanasheria ili kuokoa muda.Habari wanajamvi,
Pasipo kupoteza muda, niende kwenye mada;
Naomba kujua kiundani namna ya kuandaa hii Memorandum of understanding na Article of Association,pili naomba kujua endapo inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili.
NB: nime-google ila sijapata kuelewa vyema,hivyo basi naomba mwenye uelewa anisaidie kwa hili
Natanguliza shukrani.
Ni PM mkuuHabari wanajamvi,
Pasipo kupoteza muda, niende kwenye mada;
Naomba kujua kiundani namna ya kuandaa hii Memorandum of understanding na Article of Association,pili naomba kujua endapo inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili.
NB: nime-google ila sijapata kuelewa vyema,hivyo basi naomba mwenye uelewa anisaidie kwa hili
Natanguliza shukrani.
Kwenye site yao achana na ile ya kujisajili(OBRS)Brela si mpaka ufungue akaunti?
TAHADHARI: Kufungua kampuni ni rahisi sana ila kufunga ni mlolongo mrefu unaohusisha mambo ya kodiHabari wanajamvi,
Pasipo kupoteza muda, niende kwenye mada;
Naomba kujua kiundani namna ya kuandaa hii Memorandum of understanding na Article of Association,pili naomba kujua endapo inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili.
NB: nime-google ila sijapata kuelewa vyema,hivyo basi naomba mwenye uelewa anisaidie kwa hili
Natanguliza shukrani.