M16_kwaoz
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 231
- 456
Habari wanajamvi,
Pasipo kupoteza muda, niende kwenye mada;
Naomba kujua kiundani namna ya kuandaa hii Memorandum of understanding na Article of Association,pili naomba kujua endapo inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili.
NB: nime-google ila sijapata kuelewa vyema,hivyo basi naomba mwenye uelewa anisaidie kwa hili
Natanguliza shukrani.
Pasipo kupoteza muda, niende kwenye mada;
Naomba kujua kiundani namna ya kuandaa hii Memorandum of understanding na Article of Association,pili naomba kujua endapo inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili.
NB: nime-google ila sijapata kuelewa vyema,hivyo basi naomba mwenye uelewa anisaidie kwa hili
Natanguliza shukrani.