Men Code

Tafuta hela za kutosha
Mtu unashindia mihogo halafu ukamie shoo🤣🤣Si utatapika ulimi?
Code hiyo🚀🚀🚀🚀
mambo ya kunukia nukia marashi ndo mwanzo wakutongozwa na mabasha !!

mwanaume unatakiwa unukie kibeberu harufu ya kiume!
Sijui mara harufu ya waridi mara dubai mtaolewa
 
Code hiyo🚀🚀🚀🚀

mambo ya kunukia nukia marashi ndo mwanzo wakutongozwa na mabasha !!

mwanaume unatakiwa unukie kibeberu harufu ya kiume!
Sijui mara harufu ya waridi mara dubai mtaolewa
Nyie mliokuja mjini kusoma ndiyo inabidi mbaki kunukia kibeberu sasa mimi mwenzio kibeberu nakitoa wapi ? Daily niko kwenye hewa ya wapambanaji mjini narudi nyumbani nakoga maji safi hiko kibeberu nakikuta wapi mkuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…