Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Ngoja waje!Wakuu
“Maji ukichanganya kwenye chenga za barafu afu ukawa unaloweka uso umo kwa dk kadhaa na kutoa “
Hii inasaidia nn? naona watu wa fitness wengi kutoka nje wanafanya
Watalaam wa skin na fitness tupeni nondoView attachment 3264318
Kina naniNgoja waje!
Mabaunsa wa YangaKina nani
heeMabaunsa wa Yanga
Wanaojua hili jambo,tuwasikie!Kina nani
naona hawajafikaWanaojua hili jambo,tuwasikie!
sijaelewaNikiwa kwenye kilele changu cha kupiga kabumbu tulikuwa tukitoka mazoezini tunazama kwenye mabarafu humo tunakaa kwa dk kadhaa baada ya hapo ukitoka unakuwa mwepesi sana ila hao wa usoni labda wanatafuta mabwana
Nataka nijueUnataka kuiga....
AiseeMabaunsa wa Yanga
Kuna bro miaka ya nyuma ailiniulizia mafuta mazuri ya kupaka ila viganja vya mikono viwe nyororo sana ... Niliwaza sana sikupata jibu. Alikuwa mwanachuo sijui kwa sasa yupo wapi sijui aliipata kazi! Ni miaka 12 imepita. Maana kwa akili zile ni ngumu sana kisavaivu kitaaMwanaume unafanya facial skin care? Unataka uso ung'ae na uwe laini ili uwe unashikwa shikwa sio?
asanteSi wanasema barafu inatoa wese chapu, labda wanaondoa wese usoni.