Men talk: ushawahi kumkana demu face to face?

13 mega pixel ulizingua bwana braza, yaanin unaogopa wanawake hivyo ???
Siku nyingine ukikutwa hivyo wala usijistukie kabisa, hawezi kukuua wala kukufanya lolote zaidi ya kulalamika tu.
Atakuchukia siku mbili hivi lakini kesho yataisha tu,........
 
Hiv kwel mtu ulielala nae,dem wako,ukamkana kua sio wew na akakubali,..haiingii akilin

.perhaps i shudnt b thoughtful
 
Hongera sana, unafaa Sana bongo muvi
 
Hahaha dem wako nae ni wembe alikua anafny nn club akat we umesafr
 
Mimi nilishawahi tena mbele ya demu mwenzake nikamuomba number
 
wee jamaaaa nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hicho ni kipaji cha aina yake
 
Hiv kwel mtu ulielala nae,dem wako,ukamkana kua sio wew na akakubali,..haiingii akilin

.perhaps i shudnt b thoughtful
Mkuu hamna mtu anaweza kuamini hii story, ila Mimi na ndugu yang na demu mwenyewe, nakumbuka siku niliyomchana ukweli nilikuwa nimelewa afu Niko kwenye shughuli ya send off pale diamond jubilee nimeenda nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…