MEN TALKS; unaangalia vigezo gani kabla kutongoza.

Usafi , Umbo Asiwe Bonge Response,+ Kando , Kando-michepuko Iwe -
 
1. Attractive face
2.Shape
Asiwe mnene wala asiwe mwembamba. Awe na nyamanyama.
3. White coloured/ Maji ya kunde

Hapa, Mtoto lazima nihamasike kumtongoza.
 
First of all sura kwanza then tabia. Nasema hivi kwa sababu huwezi kumtongoza demu usiemjua kwa kuangalia tabia but naanza kutongoza kwa kuangalia sura na baada ya kummiliki ndo seek for her behaviour
 
Asiwe mropokaji ropokaji. Chura la wastani
 
Sifa zooote hizo halafu unahonga buku
 
Msambwanda ndio ugonjwa wangu aisee...alafu akiwa mweusi ndio napenda zaidi
 
Kimbaumbau,msafi,Upole km anaongea sn siwezi kuchukua namba..na pili amevaaje na amejirembaje..kama anakope bandia au wigi la bluu au anakucha za bandia au tight bila shati ndefu hadi magotini...basi huyo sitaki hata namba yake ingawa naweza kuwa nae ila si zaidi ya week 2......awe simple,asiwe anacheka ovyo bora kutabasamu,mpole basi angalau sura ya kipole....sasa kabla sijachukua namba tukiwa tunapiga story napima uwezo wake wa kufikiri si lzm uwe na akili sana ila angalau uwe tu na elimu dunia sio mbumbumbu kbs ...akipita kwenye chujio hilo najua naweza kuchukua namba ya simu vinginevyo sichukui hata namba
 
Natongoza just 4 fun so sina vigezo vyovyote by nw
Labda ntapokuwa natafuta mke ndo ntaweka vigezo


But nw nkijiskia 2 natongoza
 
Muonekano, amevaaje, sauti ya upole hapo lazima nitangaze nia ila kma kakosa kimoja wapo kati ya hivyo anapita kulia napita kushoto
 
Demu nziri kwa sura umbile na tabia nzuri awe na huruma sio kisirani muda wote uso na sura kakunja
 
Reactions: BAK
awe mpole kama mm awe na umbo zuri na sura nzur pia.awe na rangi ya black kwa mbaaaaali.hapo ndio nakufa kabisa mm.



joanah
 
Reactions: BAK
Muonekano wake (alivyoumbika) pia uvaaji wake. Tabia nitakuja kuijua baadaye baada ya kuanza mawasiliano.
 
Wanaume tunajidanganya na appearance sana. Maana, baada ya muda ukiongea na yule uliye muona meeehhhh anakuwa Beyonce.

A few years ago I met this girl. Kwa first sight sikumuona mkali. Since vigezo vuangu vyote hakuwa navyo, vilikuwa opposite. Mwezi uliopita nimekutana nae. Nitaongea na kwa muda mrefu, nikarealise kweli appearance sio Kila kitu. All my girls, walikuwa wakiniona na bible au naongelea mambo ya Mungu wananiona miyeyusho, ila huyu ndio ananisupport.

She is dark skinned(sipendagi wanao fanana na mimi[emoji3] ) but huyu weusi wake umeenda Cambridge university. Anashape ya Kitusi. Duhhhhh, mach makubwa, maringo ya maana. Tena muhimu ni kwamba she is very bright, form six alipiga div 1 ya mfano. Chuo anasomea course ya maana. Naona future ya ukweli.

Vigezo vyangu:
Light skinned
Figure 8
Long natural hair
Nice nails
Educated
Respectful
Feminine

This girl changed my views. Anyway nisingekuwa na girlfriend I would date her anyway. Basi tu, ndo nimemkosa.

Mwisho wa siku, kila mwanamke ni mkali, unahitaji muda tu.

-callmeGhost
 
Hawa wenye sura na makalio nilipambana nao nikiamini ndio ishu kumbeee ushuzi mtupuuuuu,sasa nahitajia ambaye yki vzur kiuchumi n a kiakili kwa kifupi awe anajua kufanya maisha
 
Ulimkosa vipi mkuu,kama ulim feel ungemwambia all truph about you're feelings for her
 
Awe mweusi,asiwe mlembo awe chini ya ulembo,
Sipendi mwanamke mkienda kitandani anakwambia subiri kwanza nifunge nywere zangu ili zisivurugike .

Pia asiwe muongeaji saana kwenye watu wengi.

Awe na miguu minene na matege kwa mbaali.
Hahahahahahahahahaha.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…