EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Lazima tutambe kama tunavyotambiana hapa JF kwa ID fake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima uvimbee kitaa ukifika home unakula za uso 🤣🤣Mwamba Ni mr.misifa[emoji4]
Unatumia kinywaji gani chenye kileo 😇😇😇🥂🍺🍸🥃🍷Mwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.
50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china😁😁
Hakika....Mwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.
50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china[emoji16][emoji16]
China ipi hiyoMwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.
50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china😁😁
Ya beijin jamaniChina ipi hiyo
China Plaza 😂😂China ipi hiyo
Huko sidhan Kama Kuna 50/50Ya beijin jamani
Labda hiyo sawa maana nayo n chainaChina Plaza 😂😂
Kwani china plaza ikogo wapi mkuu, naisikiasikia tuLabda hiyo sawa maana nayo n chaina
Buguruni MalapaChina ipi hiyo
Labda hiyo lakin sio ile ya hu haa masterBuguruni Malapa
Tembea kkoo utalionaKwani china plaza ikogo wapi mkuu, naisikiasikia tu
Mkuu effects za beijing zipo, kwa sasa mwananke anaye manage familia haamini kuwa hiyo ni kazi, hata kama familia inao members 20 wakiwemo na watoto wadogo.Mwanaume ni lazima abaki kuwa mwanaume…hili halina ubishi.
50/50 kwa mwanamke na mwanaume hakuna.
Labda ni huko Beijing china😁😁