Sio wewe pekee kwenye kinyaa tupo wengi,huwa sipendi kula kwa watu sababu ni hiianao hadi kesho
hawa viumbe sio kwamba nawaogopa ila ni sababu ni wachafu
Hapo tu ndio wanaponichefua
Hujashikwa nduguChoo ya bar? Situmii hata kwa viboko
siku ukikutana na bui bui wa manyoya au tandu tutakuja kukushusha na ngazi za mafundi kutoka tanesco ukiwa juu ya paa la nyumba.hujamkuta akikupandia wewe mkuu
Nakwambia lazima uruke
hujamkuta akikupandia wewe mkuu
Nakwambia lazima uruke
Wahuni wamepita na mkund*wakoMalinda ndio nini?