I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
hahaha usifanye hivyoMie akiingia mdudu mwanaume gheto kwangu
Nakosa amani kabisa.
Huwa nakosa raha kabisa kiukwelihahaha usifanye hivyo
Hahahaha hao mi nawaona kama mashetani yaani mpaka utumbo unauonaKuna vile vimjusi vyeupe.
Halooo huwa najisikia hadi kichefuchefu.
Mimi naviogopa hata kuviua sidhubutu yani. Natamani ningepata ujasiri kama wako.Hahahaha hao mi nawaona kama mashetani yaani mpaka utumbo unauona
Sikipenda hicho kimyama ingawa hana madhara ila akiingia chumbani ama zake ama zangu
Nilimmalizia dawa ya mbu mpaka nikaanza kukohoa akawa anatambaa kama anacheza break dance lakini alikufa mwishoMimi naviogopa hata kuviua sidhubutu yani. Natamani ningepata ujasiri kama wako.
Nilimmalizia dawa ya mbu mpaka nikaanza kukohoa akawa anatambaa kama anacheza break dance lakini alikufa mwisho
Aliingia chini ya kitanda nikasema huyu akiingia kwenye shuka sijui ntatokea wapi.
Kwa kweli ni phobia yangu huyu mdudu
Napenda majoka na wanyama na wadudu ila huyu hapana
Kwnye nyumba au mimi au yeye
Hahahahaha yaani nyumbani nakumbuka tangu wadogo tulitokea kukiogopa mpaka leoHaha halafu kikishajua unakiogopa kukibonda kinakuzoea .
Mimi nikikitishia wala hakijigusi yaani.
Hivyo vimjusi navionaga ila sinaga shida navyo naonaga wananisaidia kupunguza mbu ndani.Kuna vile vimjusi vyeupe.
Halooo huwa najisikia hadi kichefuchefu.
πππ unahatari sana mkuuNilimmalizia dawa ya mbu mpaka nikaanza kukohoa akawa anatambaa kama anacheza break dance lakini alikufa mwisho
Aliingia chini ya kitanda nikasema huyu akiingia kwenye shuka sijui ntatokea wapi.
Kwa kweli ni phobia yangu huyu mdudu
Napenda majoka na wanyama na wadudu ila huyu hapana
Kwnye nyumba au mimi au yeye
Kunguni nae waajabu mno hafagi kizembe zembe watukutu sijawahi kuona. ukiwa nao ndani siku upate ugeni utaiona nyumba chungu. Wanajitokeza kama vile uliwaomba wajitambulishe kwa wageni.Panya mbona ni burudani kabisa na usingizi unakuja, aingie nyoka aisee au uvamiwe na kunguni, utageuka mlinzi.
Hahahahahaha eti wajitambulisheKunguni nae waajabu mno hafagi kizembe zembe watukutu sijawahi kuona. ukiwa nao ndani siku upate ugeni utaiona nyumba chungu. Wanajitokeza kama vile uliwaomba wajitambulishe kwa wageni.