Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania

Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania

Kuna App za wazawa kama TANTAXI ambazo ziko vizuri sana na zingeleta mabadiliko ila watu wamekariri uber na Bolt. Uwekezaji pia lazima utazame wawekezaji wa ndani ambao gharama zao za uendeshaji sio kubwa kivile kiasi haitowalazimu kuweka kamisheni kubwa kama ilivyo kwa Bolt na Uber: TanTaxi Passenger - Apps on Google Play. Hii TanTaxi haikati kamisheni kwa sasa na wamedhamiria kutovuka asilimia 10%. Abiria anafaidika na dereva anafaidika na kupata moyo wa kutoka huduma nzuri.
Hiki unachofanya ni spamming na haijawahi kuwa njia ya marketing. Badala liwe tangazo sasa linakuwa kero, unarudiarudia
 
Ndio mkuu....
Hii serikali ni ya kinyonyaji mnoo, kila sehemu wanapiga pini, na hii yote ni kwa sababu wao wanakula kiubua hawajui gharama ya mafuta wala vyakula. Wao vitu vingi free, bado mshahara mkubwa, posho kede kede, nyumba za serikali.

Kama sisi tusipofanya jambo basi tumekwisha.
 
Kuna App za wazawa kama TANTAXI ambazo ziko vizuri sana na zingeleta mabadiliko ila watu wamekariri uber na Bolt. Uwekezaji pia lazima utazame wawekezaji wa ndani ambao gharama zao za uendeshaji sio kubwa kivile kiasi haitowalazimu kuweka kamisheni kubwa kama ilivyo kwa Bolt na Uber: TanTaxi Passenger - Apps on Google Play. Hii TanTaxi haikati kamisheni kwa sasa na wamedhamiria kutovuka asilimia 10%. Abiria anafaidika na dereva anafaidika na kupata moyo wa kutoka huduma nzuri.
Jitangaze mkuu, upate wateja.
Napenda kuwasapoti wazawa.
 
Kuna App za wazawa kama TANTAXI ambazo ziko vizuri sana na zingeleta mabadiliko ila watu wamekariri uber na Bolt. Uwekezaji pia lazima utazame wawekezaji wa ndani ambao gharama zao za uendeshaji sio kubwa kivile kiasi haitowalazimu kuweka kamisheni kubwa kama ilivyo kwa Bolt na Uber: TanTaxi Passenger - Apps on Google Play

Uber na bolt hawataki 15% wanataka 20-25% ambayo madereva wanaipinga tusubiri kuona yajayo
 
WENGI NAONA HAWAELEWI HII ISSUE, IKO HIVI
BOLT HAJAAJIRI MADEREVA WALA HANA MAGARI, MADEREVA NDIO WAMILIKI WA MAGARI YAO WENYEWE NA HUTUMIA MTANDAO WA BOLT KUPATA WATEJA/ABIRIA KILICHOKUWEPO NI KWAMBA MADEREVA WALIANDAMANA KUPINGA COMMISSION AMBAYO BOLT HUWATOZA MADEREVA KWA KILA NAULI/SAFARI WANAYOFANYA IKIWA NA MAANA HII; DEREVA AKIFANYA SAFARI HUTAKIWA KUWALIPA BOLT 23% YA NAULI HIVYO DEREVA KUBAKIWA NA 77% YA NAULI AMBAYO HAPO LAZIMA ATOE MAFUTA,SERVICE ETC. NA UKIZINGATIA NAULI ZA BOLT ZILIKUWA ZILE ZILE KWA ZAIDI YA MIAKA MITATU INGAWA GHARAMA ZA UENDESHAJI ZINAPANDA KILA KUKICHA HASA MAFUTA..HIVYO LATRA AKAAMUA KUINGILIA KATI KAMA REGULATOR NA KUITISHA KIKAO NA WADAU WOTE IKIWEPO UBER/BOLT, MADEREVA NA WENGINE KUJADILI HILO SUALA NA KUFIKIA MUAFAKA WA COMMISSION ISHUKE KUTOKA ILIPOKUWEPO HADI 15% NA NAULI ZIPANDE HADI 900 KWA KILOMETA MOJA..LAKINI WAKAKAIDI NDIO MAANA UBER AKASITISHA.
Kwa hiyo anayeumia bado ni mlaji.
Ukiwa na app ya Uber au bolt hata ukienda nje ya nchi huhitaji kuwa na account nyingine. Kwa kuwa hizi kampuni zipo nchi nyingi ndio maana wanakuwa na nguvu.
Athari itakuwa kwa wageni wanaoingia nchini maana itabidi wapakue app za mskampuni ya nyumbani.
 
Hizi sheria ziliachwa na yule jamaa, mama kaachiwa jumba bovu, naamini anasikiliza ataondoa hio makato ili atengeneze ajira
Kama alivyoachiwa Jumba Bovu la Kuunganishwa umeme Laki Tatu yeye akashusha mpaka 27,000/=
 
Niliwai toa maoni kuna mtu alipokea ushauri anapesa ameshauriwa ananunue gari afanye bolt na uber. Nikwamwambia bolt na uber ni kazi ya ziada kwa mtu mwenye chombo cha usafiri.

Uber teyari kasitisha huduma bolt anapima kina cha maji kwa mguu.

Serikali Tulinde wawekezaji
Sahihi kabisa, Madereva kazi yao pia ni kuangalia mashahi yao, vp kuhusiana na maslahi ya mteja ambayo bolt ameamua kuyalinda kwa kuhakikisha nauli haziwi ghali?
 
WENGI NAONA HAWAELEWI HII ISSUE, IKO HIVI
BOLT HAJAAJIRI MADEREVA WALA HANA MAGARI, MADEREVA NDIO WAMILIKI WA MAGARI YAO WENYEWE NA HUTUMIA MTANDAO WA BOLT KUPATA WATEJA/ABIRIA KILICHOKUWEPO NI KWAMBA MADEREVA WALIANDAMANA KUPINGA COMMISSION AMBAYO BOLT HUWATOZA MADEREVA KWA KILA NAULI/SAFARI WANAYOFANYA IKIWA NA MAANA HII; DEREVA AKIFANYA SAFARI HUTAKIWA KUWALIPA BOLT 23% YA NAULI HIVYO DEREVA KUBAKIWA NA 77% YA NAULI AMBAYO HAPO LAZIMA ATOE MAFUTA,SERVICE ETC. NA UKIZINGATIA NAULI ZA BOLT ZILIKUWA ZILE ZILE KWA ZAIDI YA MIAKA MITATU INGAWA GHARAMA ZA UENDESHAJI ZINAPANDA KILA KUKICHA HASA MAFUTA..HIVYO LATRA AKAAMUA KUINGILIA KATI KAMA REGULATOR NA KUITISHA KIKAO NA WADAU WOTE IKIWEPO UBER/BOLT, MADEREVA NA WENGINE KUJADILI HILO SUALA NA KUFIKIA MUAFAKA WA COMMISSION ISHUKE KUTOKA ILIPOKUWEPO HADI 15% NA NAULI ZIPANDE HADI 900 KWA KILOMETA MOJA..LAKINI WAKAKAIDI NDIO MAANA UBER AKASITISHA.
Umeangalia pia na kipato cha mlaji au mnaangalia tu maslahi binafsi?
 
Sahihi kabisa, Madereva kazi yao pia ni kuangalia mashahi yao, vp kuhusiana na maslahi ya mteja ambayo bolt ameamua kuyalinda kwa kuhakikisha nauli haziwi ghali?

Yaah tatizo pia bolt hataki kushusha commission yake to 15%
 
25 wanaokula hao mabeberu ni ya kichonyaji haswa 15 sahii kbsa hawataki linkii ipo au serekali ianziehe udumu yake au latra wenyewe waanzishe site yao
 
Yaah tatizo pia bolt hataki kushusha commission yake to 15%
Pengine akishusha chini ya hiyo percentage anaweza shindwa lipa wafanyakazi wake pamoja na kumudu gharama mbalimbali za kiuendeshaji, na mwisho wa siku aweze kupata decent profit ambayo ni malipo ya efforts zake- Tatizo bongo tunataka slope sana- Katuachia zaidi ya 85 percent lakini bado serikali na madereva wanataka yote- Investor lazima aondoke hata kama ingekuwa mm 🤣 🤣
 
Haijawahi 20, miaka yote iko 25+ kwa miaka zaidi ya minne sasa ukizingatia maisha na vifaa vya magari vinapanda kila siku. Wao bei zao zilikuwa zilezile na na bado wanapandisha commision week tatu au mbili nyuma #Bolt walikuwa wanachukuwa hadi 33% per trip.
Nina wazo: Kama serikali inawapenda sana madereva na inataka kuwasaidia basi watengeneze na ku-manage Application kama ya Bolt ambayo madereva wote wataitumia kwa bei wanayoona ni rafiki hata ikiwezekana iwe bure. Au madereva wajiunge watengeneze app yao na wapange management fee wanayodhani itawafaa.
 
I guess ni from makusanyo yao,

Why wasiwatoze VAT tu, the rest waachane nayo.

Kweli nchi inahitaji hela Ila isiwe Kwa kudumaza sector ya technolojia, maana ni sector muhim na inatutoa ushamba sana.

Yaani ukizoea hizi Uber na bolt utajiona uko home ukifika Manchi ya watu, unashuka Berlin unachukua Uber mpaka hotelini kama bongo. Ila hivi vitu visipokuwepo tunabaki na ushamba wetu
Wamezoea dezo.... walipe kodi stahiki...
 
Hapo wala sio suala la Sheria Bali ni matakwa ya kampuni.
Kampuni inataka kutoza 25% kwa kila trip, dereva anaona 25% ni nyingi. Latra anaingia ili kumsaidia dereva anaomba kampuni ishushe hadi 15%. Kampuni inaona hiyo 15% ni ndogo.
Tatizo lipo hapo, Wala sio Sheria.
Sasa Latra anaingiliaje wakati hayo ni makubaliano baina ya makampuni na wenye magari? Kama mwenye gari anaona hapati kitu si anaacha makampuni yanaendelea na wenye magari walio tayari!
 
Pengine akishusha chini ya hiyo percentage anaweza shindwa lipa wafanyakazi wake pamoja na kumudu gharama mbalimbali za kiuendeshaji, na mwisho wa siku aweze kupata decent profit ambayo ni malipo ya efforts zake- Tatizo bongo tunataka slope sana- Katuachia zaidi ya 85 percent lakini bado serikali na madereva wanataka yote- Investor lazima aondoke hata kama ingekuwa mm [emoji1787] [emoji1787]

Bolt hajaacha iyo percentage iyo percentage ndio amegomea bolt anachukua 20 na uber alikua anachukua 25
 
BADO NI BIASHARA HURIA ILA LAZIMA KUWE NA REGULATORS WA BEI HAKUNA UHURU BILA SHERIA, UHURU LAZIMA UJUE UNAANZIA WAPI NA UNAISHIA WAPI. INGEKUWA HIVYO HATA DALADALA WANGEKUWA WANAJIAMULIA TU NAULI ZAO SABABU NI BIASHARA HURIA MKUU.
Sikia Watanzania ambao bado mnawaza kijamaa. Kama hiyo bei ni realistic kwa nini wasiwaache wanaoweza washushe ili abiria na madereva wahamie kule?

Tanzania tungekuwa tunatoa incentives kwa locals tungekuwa na makampuni strong area hiyo na yangeshusha bei kama hio rate ni reasonable na haya makampuni automatically yangefunga bila kelele au yangeshusha pia.

Unaweza ku control sheria bila kuweka mkono moja kwa moja!
 
Kabisa homeboy haujakosea. Kuna watu wa ajabu sana serikalini.
 
Back
Top Bottom