Yeye mond ndiye aliwatafuta na akawambia kazi zao kwake ni nini hasa. Hivyo mwenye akili ni mond, aliwaona akajua nini anataka na wanaweza kumfanyia nini.Kuna uvumi kwamba wasanii wengi hawatoboi kisa wana management mbaya.
Sasa kwa msanii mondi ambaye mameneja wake wana manage wasanii wengi kama Tale( Madee, Janjaro, Shaa) na Mkubwa Fela( Chege, mh Temba, wanaume tmk) kwa nini hao mameneja msanii diamond tu ndiyo katoboa wakati wao ndiyo mameneja kwanini wasiwameneji wengine nao watoboe.
Kwaiyo kama meneja ndiyo dawa ya msanii kutoboa mbona wengine hawatoboi na meneja wao mmoja?
Au shida siyo menejiment mbovu labda ni msanii mwenyewe tu ndo anajua kutoboa
Hivi mtu kama Babu Tale ubunge aliupataje?mtu kuongea tu shidaMeneja wa diamond ni salam sk hao wengine ni madalali tu wakumtafutia waganga wa kienyeji ukitaka kujua hamna kitu kichwani wasikilize wakiongea wanajibu utumbo tu.
Sallam sk Ni dalali tu.Nadhani kwenye mafanikio ya Diamond huwezi kumwacha Salam Sk
Sallam namkubali saaana sijui kwa nnMeneja wa diamond ni salam sk hao wengine ni madalali tu wakumtafutia waganga wa kienyeji ukitaka kujua hamna kitu kichwani wasikilize wakiongea wanajibu utumbo tu.
Yule alikuwa kwenye ile group iliyopita bila kupingwaHivi mtu kama Babu Tale ubunge aliupataje?mtu kuongea tu shida
Yule ni ile group iliyopita bila kupingwaHivi mtu kama Babu Tale ubunge aliupataje?mtu kuongea tu shida
Sure kama Fella no hatari kwa ulozi achilia mbali huyo taleMeneja wa diamond ni salam sk hao wengine ni madalali tu wakumtafutia waganga wa kienyeji ukitaka kujua hamna kitu kichwani wasikilize wakiongea wanajibu utumbo tu.
Level za kimataifa ni kitengo Cha sallam sk. So hao wanaishia tu ndan... Je Kwa ndan hawajafanikiwaKuna uvumi kwamba wasanii wengi hawatoboi kisa wana management mbaya.
Sasa kwa msanii mondi ambaye mameneja wake wana manage wasanii wengi kama Tale( Madee, Janjaro, Shaa) na Mkubwa Fela( Chege, mh Temba, wanaume tmk) kwa nini hao mameneja msanii diamond tu ndiyo katoboa wakati wao ndiyo mameneja kwanini wasiwameneji wengine nao watoboe.
Kwaiyo kama meneja ndiyo dawa ya msanii kutoboa mbona wengine hawatoboi na meneja wao mmoja?
Au shida siyo menejiment mbovu labda ni msanii mwenyewe tu ndo anajua kutoboa