Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Diamond katoboa kwa jitihada zake binafsi labda na msaada kidogo wa Sallam hasa kwa exposure ya kimataifa.
Hao kina Fella na Tale ni makupe tu waliopewa majukumu. Ingekuwa wana mmanage Diamond kama ma manager tungeshamsahau kitambo sana.
Hao kina Fella na Tale ni makupe tu waliopewa majukumu. Ingekuwa wana mmanage Diamond kama ma manager tungeshamsahau kitambo sana.