Hata Carlo Ancelotti alifundisha Tottenham hakuchukua hata Community shield, lakini anabeba makombe mengine na Real Madrid. Kwahiyo meneja kufanikiwa popote inategemea na program na progress.
Maana hata Jay Z, katoa wasanii wengi lakini waliofikia kwenye level ya mafanikio ni Kanye na Rihanna. Sasa ku fail kwa Madee sio kosa la Tale