Meneja Masoko wa TTCL atimuliwe kazi, anaihujumu TTCL

Meneja Masoko wa TTCL atimuliwe kazi, anaihujumu TTCL

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Huyu meneja wa masoko wa TTCL afukuzwe kazi

Serikali popote mlipo, maboss wa TTCL, na wizara ya mawasiliano huyu afisa masoko wa TTCL ni hatari kwa usalama wa uchumi wa taifa hili

Anatoa wapi ujasiri wa kutumika kuhujumu shirika namna hii?

TTCL ndo kwanza wamefufuka, wanahitaji kuwafikia Watanzania wengi, pia hili shirika linaongozwa kwa kodi za Watanzania

Hivi inaingia akilini makampuni yote ya kibinafsi wanakimbilia kwenye mb 600 na ttcl nao bila kufikiria madhara na anguko la shirika lao na ndo kwanza wameanza eti nao wamerukia huko huko kwa MB 600?

Huu ni uhujumu wa maksudi wallah, hili shirika limefufuliwa kwa gharama kubwa sana, eti makampuni mengine kama Voda, Tigo, na Halotel wamepunguza sasa mabando ni mb 600 badala ya GB 1.5 na ttcl nao wamefata mkumbo wakati wanafahamu kabisa hili linaua shirika lao

TTCL sahivi walitakiwa wabakie na vifurushi vyao nafuu ili watu wakimbilie huku ttcl ili shirika litengeneze faida, lakini menejiment ya TTCL na afisa masoko kwa maksudi wanafanya hivi kwa favour ya makampuni mengine ili shirika life!

Kwani wanawalipa shilingi ngapi ili mulihujumu shirika la umma

Ni aibu kuendelea kukumbatia uongozi wa kijinga,na wa.ovyo na menijiment mbovu kama hii ya ttcl

Naomba kwa dhati kabisa afisa masoko wa ttcl afukuzwe kazi, na uongozi wa ttcl uvunjwe na wafunguliwe kesi ya kulihujumu taifa na hili halikubaliki kamwe
 
Humu JF wapo mkuu,

Natumai watalifanyia kazi pendekezo lako pia Msigwa alisema eti nchi za wenzetu Gb1 inauzwa $5 hivyo Tanzania tuna bahati Sana yakuwa na gharama mafuu kwenye bundle
 
Huyu meneja wa masoko wa Ttcl afukuzwe kazi mara

Serikali popote mlipo,maboss wa ttcl, na wizara ya mawasiliano huyu afisa masoko wa ttcl ni hatari kwa usalama wa uchumi wa taifa hili...
Mkuu umeshamaliza kila kitu.

Hao staff huwaga wanalipwa na makampuni hasimu ili kuuwa na kudoofisha shirika.

Wewe fikiria huo upumbaf wao wa line na simu za mitandao yao kutokuingiliana na mitandao mengine, ililenga nini na walifaidika na nini kwa mfano?

Jambo jengine, wameshindwaje shirika la umma kutandaza mawasiliano ya simu nchi nzima, huku mjini nako wanasuasua?

Wahujumu uchumi wa nchi hii wengine siyo wa kudhania na wamejipanga kimahesabu kwa mnyororo usiogusika.

Tukawa tunajiuliza, hawa mbwa wanatoa wapi hela ya gawio kwa serikali kila mwaka huku mtandao wao upo chini na raia hawautumii sana?

Tukaja kujibiwa kijinga jinga, eti wanauza mawasiliano kwa makampuli!

Alah! Halafu?

Sisi raia tunafaidika nini na mtandao huu wa mawasiliano?

Yaani kampuni ya mawasiliano ya taifa inashindwa kutanzua kitendawili hiki dhaifu cha kuunganishia wananchi mawasiliano na kwa bei nafuu?

Hapa lazima hujuma ipo, tena si ya kitoto.
 
Wakipata hasara mtaanza kuwasengenya Tena..
 
Ni wakati umefika wa kubadilisha policy ya ttcl ishapitwa na wakati toka shirika linanzishwa hajawahi kubadilisha policy ndo maana wanafanya misukule sukule wanazigua wazinguliwe
 
Naona bado upo ndotoni. Wanaccm wanasema
Tupo uchumi wa kati, wewe ukishindwa kununua bando la 600mb kwa 1000 utakuwa mvivu na ulizoea kupiga dili. Hizo mb 600 ni bei ya promotion. Kiuhalisia 1000 ni 350mb. Unatakiwa ufurahie.
Fanya kazi, acha kulia lia.
Siyo maneno yangu ni ya wanaccm. Wameweka kiwango hicho na wavivu wafanye kazi na siyo kushinda mtandaoni
Tetesi nilizozisikia mpaka kufika 2023. 1GB itakuwa inanunuliwa kwa Tsh. 10,000
 
Kweli huu uzi ikiwezekana utupie majukwaa yote humu Kila mtu /mwanachama umfikie na uwafikie
 
Ni wakati umefika wa kubadilisha policy ya ttcl ishapitwa na wakati toka shirika linanzishwa hajawahi kubadilisha policy ndo maana wanafanya misukule sukule wanazigua wazinguliwe
Kabisa
 
Naona bado upo ndotoni. Wanaccm wanasema
Tupo uchumi wa kati, wewe ukishindwa kununua bando la 600mb kwa 1000 utakuwa mvivu na ulizoea kupiga dili. Hizo mb 600 ni bei ya promotion. Kiuhalisia 1000 ni 350mb. Unatakiwa ufurahie.
Fanya kazi, acha kulia lia.
Siyo maneno yangu ni ya wanaccm. Wameweka kiwango hicho na wavivu wafanye kazi na siyo kushinda mtandaoni
Tetesi nilizozisikia mpaka kufika 2023. 1GB itakuwa inanunuliwa kwa Tsh. 10,000
Nilitaka nikujib ngoja nikaushe tu
 
Mkuu umeshamaliza kila kitu.

Hao staff huwaga wanalipwa na makampuni hasimu ili kuuwa na kudoofisha shirika.

Wewe fikiria huo upumbaf wao wa line na simu za mitandao yao kutokuingiliana na mitandao mengine, ililenga nini na walifaidika na nini kwa mfano?

Jambo jengine, wameshindwaje shirika la umma kutandaza mawasiliano ya simu nchi nzima, huku mjini nako wanasuasua?

Wahujumu uchumi wa nchi hii wengine siyo wa kudhania na wamejipanga kimahesabu kwa mnyororo usiogusika.

Tukawa tunajiuliza, hawa mbwa wanatoa wapi hela ya gawio kwa serikali kila mwaka huku mtandao wao upo chini na raia hawautumii sana?

Tukaja kujibiwa kijinga jinga, eti wanauza mawasiliano kwa makampuli!

Alah! Halafu?

Sisi raia tunafaidika nini na mtandao huu wa mawasiliano?

Yaani kampuni ya mawasiliano ya taifa inashindwa kutanzua kitendawili hiki dhaifu cha kuunganishia wananchi mawasiliano na kwa bei nafuu?

Hapa lazima hujuma ipo, tena si ya kitoto.
Adui wa maendeleo ya mwafrica ni mwafrica mwenzake.Kujua undani wa.
Mikataba yeyote isiyotumia akili,"Follow the Money trail" utagundua mfaidika na mfadhili wake.
 
Back
Top Bottom