Meneja Masoko wa TTCL atimuliwe kazi, anaihujumu TTCL

Meneja Masoko wa TTCL atimuliwe kazi, anaihujumu TTCL

Huyu meneja wa masoko wa TTCL afukuzwe kazi

Serikali popote mlipo, maboss wa TTCL, na wizara ya mawasiliano huyu afisa masoko wa TTCL ni hatari kwa usalama wa uchumi wa taifa hili

Anatoa wapi ujasiri wa kutumika kuhujumu shirika namna hii?

TTCL ndo kwanza wamefufuka, wanahitaji kuwafikia Watanzania wengi, pia hili shirika linaongozwa kwa kodi za Watanzania

Hivi inaingia akilini makampuni yote ya kibinafsi wanakimbilia kwenye mb 600 na ttcl nao bila kufikiria madhara na anguko la shirika lao na ndo kwanza wameanza eti nao wamerukia huko huko kwa MB 600?

Huu ni uhujumu wa maksudi wallah, hili shirika limefufuliwa kwa gharama kubwa sana, eti makampuni mengine kama Voda, Tigo, na Halotel wamepunguza sasa mabando ni mb 600 badala ya GB 1.5 na ttcl nao wamefata mkumbo wakati wanafahamu kabisa hili linaua shirika lao

TTCL sahivi walitakiwa wabakie na vifurushi vyao nafuu ili watu wakimbilie huku ttcl ili shirika litengeneze faida, lakini menejiment ya TTCL na afisa masoko kwa maksudi wanafanya hivi kwa favour ya makampuni mengine ili shirika life!

Kwani wanawalipa shilingi ngapi ili mulihujumu shirika la umma

Ni aibu kuendelea kukumbatia uongozi wa kijinga,na wa.ovyo na menijiment mbovu kama hii ya ttcl

Naomba kwa dhati kabisa afisa masoko wa ttcl afukuzwe kazi, na uongozi wa ttcl uvunjwe na wafunguliwe kesi ya kulihujumu taifa na hili halikubaliki kamwe
Nani wa kumfunga paka kengele?!
Raisi mwizi,Makamu Mwizi,PM mwizi,Waziri mwizi,Mbunge mwizi,mkurugenzi mwizi,polisi mwizi,Takukuru mwizi,DC,RC Wezi,wakurugenzi ndio kabisa majizi ya mchana!
Hivi ndivyo nchi inavyoliwa.
 
Huyu meneja wa masoko wa TTCL afukuzwe kazi

Serikali popote mlipo, maboss wa TTCL, na wizara ya mawasiliano huyu afisa masoko wa TTCL ni hatari kwa usalama wa uchumi wa taifa hili

Anatoa wapi ujasiri wa kutumika kuhujumu shirika namna hii?

TTCL ndo kwanza wamefufuka, wanahitaji kuwafikia Watanzania wengi, pia hili shirika linaongozwa kwa kodi za Watanzania

Hivi inaingia akilini makampuni yote ya kibinafsi wanakimbilia kwenye mb 600 na ttcl nao bila kufikiria madhara na anguko la shirika lao na ndo kwanza wameanza eti nao wamerukia huko huko kwa MB 600?

Huu ni uhujumu wa maksudi wallah, hili shirika limefufuliwa kwa gharama kubwa sana, eti makampuni mengine kama Voda, Tigo, na Halotel wamepunguza sasa mabando ni mb 600 badala ya GB 1.5 na ttcl nao wamefata mkumbo wakati wanafahamu kabisa hili linaua shirika lao

TTCL sahivi walitakiwa wabakie na vifurushi vyao nafuu ili watu wakimbilie huku ttcl ili shirika litengeneze faida, lakini menejiment ya TTCL na afisa masoko kwa maksudi wanafanya hivi kwa favour ya makampuni mengine ili shirika life!

Kwani wanawalipa shilingi ngapi ili mulihujumu shirika la umma

Ni aibu kuendelea kukumbatia uongozi wa kijinga,na wa.ovyo na menijiment mbovu kama hii ya ttcl

Naomba kwa dhati kabisa afisa masoko wa ttcl afukuzwe kazi, na uongozi wa ttcl uvunjwe na wafunguliwe kesi ya kulihujumu taifa na hili halikubaliki kamwe
Unataka upewe terabite au? Ujui watu wakijaa mtandaoni mtsndao unakuwa mzito. Acha twende iv iv mpaka tukome wote
 
Nimenunua line yao ajabu wanavifurushi ghali kuliko voda na tigo (sio vyote)
Mfano mimi cha tigo cha 2000 napewa dk 150 na mb800 kwa wiki. Lakini hao wamefyeka dk na mb. Labda sijui ile bufee yao
 
Huyu meneja wa masoko wa TTCL afukuzwe kazi

Serikali popote mlipo, maboss wa TTCL, na wizara ya mawasiliano huyu afisa masoko wa TTCL ni hatari kwa usalama wa uchumi wa taifa hili

Anatoa wapi ujasiri wa kutumika kuhujumu shirika namna hii?

TTCL ndo kwanza wamefufuka, wanahitaji kuwafikia Watanzania wengi, pia hili shirika linaongozwa kwa kodi za Watanzania

Hivi inaingia akilini makampuni yote ya kibinafsi wanakimbilia kwenye mb 600 na ttcl nao bila kufikiria madhara na anguko la shirika lao na ndo kwanza wameanza eti nao wamerukia huko huko kwa MB 600?

Huu ni uhujumu wa maksudi wallah, hili shirika limefufuliwa kwa gharama kubwa sana, eti makampuni mengine kama Voda, Tigo, na Halotel wamepunguza sasa mabando ni mb 600 badala ya GB 1.5 na ttcl nao wamefata mkumbo wakati wanafahamu kabisa hili linaua shirika lao

TTCL sahivi walitakiwa wabakie na vifurushi vyao nafuu ili watu wakimbilie huku ttcl ili shirika litengeneze faida, lakini menejiment ya TTCL na afisa masoko kwa maksudi wanafanya hivi kwa favour ya makampuni mengine ili shirika life!

Kwani wanawalipa shilingi ngapi ili mulihujumu shirika la umma

Ni aibu kuendelea kukumbatia uongozi wa kijinga,na wa.ovyo na menijiment mbovu kama hii ya ttcl

Naomba kwa dhati kabisa afisa masoko wa ttcl afukuzwe kazi, na uongozi wa ttcl uvunjwe na wafunguliwe kesi ya kulihujumu taifa na hili halikubaliki kamwe
Kuna namna hapa

 
Back
Top Bottom