Meneja Mpya wa Harmonize Kajala Adaiwa Kumuondoa Mjerumani Konde Gang

Meneja Mpya wa Harmonize Kajala Adaiwa Kumuondoa Mjerumani Konde Gang

USA anadaiwa na china
Anadaiwa russia Saudis

Elon musk anadaiwa bank of America huko bank za kina Barclay's nk
Mo anadaiwa mpaka mwenyewe alikir
Hakutaka jikosha no kusema hadaiwi ,, USA anadaiwa nn na China😁 toeni upuuzi huku
 
USA anadaiwa na china
Anadaiwa russia Saudis

Elon musk anadaiwa bank of America huko bank za kina Barclay's nk
Mo anadaiwa mpaka mwenyewe alikir
Mkuu hako katoto tukaache tu kaendelee kufuga ujinga,hakataki kueleweshwa,
Kamekaza fuvu wakati upstairs ni empty set.
 
Sasa yeye kila siku ni madeni tu?
😂😂 mkuu kwa mtu kama konde kutoka wcb na kuweza kusimama alivyo leo haiwezinkuwa rahis na sidhan kama kuna mtu mwingine mwenye guts hiz pale kwahiyo kuwa na maden haikua option lakin the god thing is jamaa anapambana ku resolve one after the other at the same time burudan mnapewa .
The guy is real a hustler n he deserves credits for that
 
kwa kukusaidia tu, hata bakhresa na utajiri wake wote, hotel verde iliyopo znz ambayo anaimiliki, sehemu ya fedha ya ujenzi wa hotel hiyo, alikopa kutoka axim bank.


Bakhresa ni brand name. Bakhresa ni company. Kwa kampuni kuchukua credits with interest is a part of business. Yaani biashara ndio zinafanyika hivyo. Sasa usije hapa ukasema Bakhresa ana madeni
 
Bakhresa ni brand name. Bakhresa ni company. Kwa kampuni kuchukua credits with interest is a part of business. Yaani biashara ndio zinafanyika hivyo. Sasa usije hapa ukasema Bakhresa ana madeni
Bakhresa Brand ikiwa na deni Bakhresa mtu hayamuhusu, mbona utajiri wa Bakhresa Brand unahuusisha na utajiri wa Bakhresa personal.
 
I'm free of credits na sina tatizo. Na hii kusema matajiri kina Mo Dewji wana madeni ni story za vijiweni.
Kasome financial statements za makampuni yao bablai,hivi hujui ukifanya investment bila source ya pesa inayoeleweka unaweza enda jela for money loundering?
 
Kasome financial statements za makampuni yao bablai,hivi hujui ukifanya investment bila source ya pesa inayoeleweka unaweza enda jela for money loundering?

Mimi sifuti kauli yangu ya kusema matajiri hawana madeni. Sasa udaiwe kivipi wakati una pesa nyingi? Lakini wadau wa humu wanatoa mifano ya kampuni zao zinavyofanya biashara na benki wanasema wana madeni. Wanasahau kwamba makampuni yao yana shereholders na kwamba credits wanazofanya sio personal.
 
Endelea kuamini unachokiamini But tambua kua matajiri wengi hua wanapo invest hua wana invest kwa hela ya mkopo, ni matajiri wachache sana wanaoweka hela zao direct.
Hakuna tajiri anayetaka kufanya uwekezaji alafu akatumia pesa zake kuwekeza, hayupo na hayupo milele.

Mo ana madeni, bakhresa ana madeni hata Elon musk anakopa
 
Mimi sifuti kauli yangu ya kusema matajiri hawana madeni. Sasa udaiwe kivipi wakati una pesa nyingi? Lakini wadau wa humu wanatoa mifano ya kampuni zao zinavyofanya biashara na benki wanasema wana madeni. Wanasahau kwamba makampuni yao yana shereholders na kwamba credits wanazofanya sio personal.
 
Back
Top Bottom