Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Hebu tingisha kichwa chako kidogo unahisi nini?Kiba ni level ya rayvanny sio mondi bin laden
Ray anakipaji haswaa maana ukisikiliza salome unaona kabisa mondi kafunikwa na katembelea nyota ya ray.Na hapo ndio nilipoona mondi si chochote maana ni kama mt.kilimanjaro(ray) na kichuguu(mondi) na kama ni wewe ni shabiki yake mshauri asirudie tena kumshirikisha ray maana atafunikwa tenaKiba ni level ya rayvanny sio mondi bin laden
HUYU RAYMOND NI NYOKO ZAIDI YA MONDI NINA WASIWASI HUENDA HATA IDEA YA SALOME IMETOKANA NA RAYVANN MAANA KAKIMBIZA BARAHA MWANZO MWISHORay anakipaji haswaa maana ukisikiliza salome unaona kabisa mondi kafunikwa na katembelea nyota ya ray.Na hapo ndio nilipoona mondi si chochote maana ni kama mt.kilimanjaro(ray) na kichuguu(mondi) na kama ni wewe ni shabiki yake mshauri asirudie tena kumshirikisha ray maana atafunikwa tena
Shoga lakichaga ujui ata unaongea nnRay anakipaji haswaa maana ukisikiliza salome unaona kabisa mondi kafunikwa na katembelea nyota ya ray.Na hapo ndio nilipoona mondi si chochote maana ni kama mt.kilimanjaro(ray) na kichuguu(mondi) na kama ni wewe ni shabiki yake mshauri asirudie tena kumshirikisha ray maana atafunikwa tena
sichangai kumuona Kiba akifanya show stage moja na Chris Brown.
wote hawa wote WaPo Chini ya SONY MUSIC ENTERTAINMENT.
Kiba ni level ya rayvanny sio mondi bin laden
vote 4 Olamide...Kingkiba sio msanii wala mwanamziki, Alikiba ni Alikiba, yaani kuna wasanii, wanamziki na kuna Alikiba, huyu jamaa ni noma hafanananishwi
Nimekusikia shoga mwenzanguShoga lakichaga ujui ata unaongea nn
acha kuzubaaa ww hujuh wizkid kasign kuwa chin ya Sony juz apoSawa endelea kutokushangaa, kwan wizkid naye yupo chini ya Sony? Wameangalia uwezo wa kuperfom live, sasa mondy yeye hivyo vitu hawezi ndiomana kaamua akaungane na mchovu mwenzie Neyo huko kwenye vishow vya birthday club ulaya
Asante kwa kuliona hilo japo wengi wao watatupingaHUYU RAYMOND NI NYOKO ZAIDI YA MONDI NINA WASIWASI HUENDA HATA IDEA YA SALOME IMETOKANA NA RAYVANN MAANA KAKIMBIZA BARAHA MWANZO MWISHO
You are Right 100%Ray anakipaji haswaa maana ukisikiliza salome unaona kabisa mondi kafunikwa na katembelea nyota ya ray.Na hapo ndio nilipoona mondi si chochote maana ni kama mt.kilimanjaro(ray) na kichuguu(mondi) na kama ni wewe ni shabiki yake mshauri asirudie tena kumshirikisha ray maana atafunikwa tena
We jamaa una kelele aisee.Kingkiba sio msanii wala mwanamziki, Alikiba ni Alikiba, yaani kuna wasanii, wanamziki na kuna Alikiba, huyu jamaa ni noma hafanananishwi
"king" wa kwanza duniani ku sleep kwa maza.Kingkiba sio msanii wala mwanamziki, Alikiba ni Alikiba, yaani kuna wasanii, wanamziki na kuna Alikiba, huyu jamaa ni noma hafanananishwi
Kiba ni level ya rayvanny sio mondi bin laden