Meneja Sallam: Off to Mombasa, Kiba inabidi ufanye kitu safari hii

Meneja Sallam: Off to Mombasa, Kiba inabidi ufanye kitu safari hii

Chris Brown gasho tuu unampigaje mtoto mzuri kama Rhihana... Bongo angenyimwa visa
 
Hujui mziki,hujui biashara,upoupo tu kama funza!...yule dogo anaanza kumwacha kiba kwa speed ya ajabu,time will tell.
Kiba hata aache leo music ametengeneza jina ambalo halitasahaulika kirahisi kama unavyochukulia ameitoa bongoflava mbali sana so heshima yake ipo palepale huwez kulinganisha na na hao cockroaches
 
Naona team naniliu wamesha acha kumfananinsha mondi na kiba, sasa hivi story ni kafunikwa na rayvany, rayvany ni mkali kuliko mondi.. hahaha! yangu macho
 
Sawa endelea kutokushangaa, kwan wizkid naye yupo chini ya Sony? Wameangalia uwezo wa kuperfom live, sasa mondy yeye hivyo vitu hawezi ndiomana kaamua akaungane na mchovu mwenzie Neyo huko kwenye vishow vya birthday club ulaya
Sasa hiyo show mbona CB kafanya playback
 
Wadau wa muziki wa Bongofleva,

Nadhani wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini..

Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja wa gwiji wa huu muziki Diamond platnumz ameandika kwamba anaelekea Mombasa ambako gwiji Alikiba atapafomu akiwa pamoja na Chris brown kutoka America na Wizkid, na kwa maoni ya watu wengi wanasema kwamba Sallam anaenda kumnasa Chris brown ili afanye kolabo na Chibu kama kipindi kile kwa Neyo..

Nikiwa kama mpenzi bongofleva naomba kingkiba afanye kitu kuhusu kolabo na CB na asichezee bahati..
Kumbe ndio maana Mic ilizima, watu wana fitna sana aisee
 
Back
Top Bottom