Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Baada ya andiko la Mwanachama wa JamiiForums.com aliyedai Barabara inayopita katika Daraja la Mto Mzinga pamoja na Daraja lenyewe maeneo ya Mbagala, Dar es Salaam ni changamoto kutokana na uchakavu na kutoboreshwa kwa muda mrefu, TANROADS imetoa maelezo.
Kusoma alichoandika Mdau bofya hapa ~ Barabara ya Mbagala hadi Kongowe inatesa wananchi Serikali itupie jicho
Akijibu hoja hiyo, Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi, John Mkumbo amesema “Hiyo barabara na Daraja lake mchakato wake upo kwenye hatua za manunuzi, ikikamilika kila kitu kitaendelea, mchakato wa ujenzi utaanza mara baada ya kusainiwa kwa mkataba ambao ndio utaweka wazi kuhusu ujenzi.”
Pia soma hapa
~ Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza
~ Hizi barabara mbovu Kigamboni na Chamazi, Serikali imeishiwa hela?
Kusoma alichoandika Mdau bofya hapa ~ Barabara ya Mbagala hadi Kongowe inatesa wananchi Serikali itupie jicho
Akijibu hoja hiyo, Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi, John Mkumbo amesema “Hiyo barabara na Daraja lake mchakato wake upo kwenye hatua za manunuzi, ikikamilika kila kitu kitaendelea, mchakato wa ujenzi utaanza mara baada ya kusainiwa kwa mkataba ambao ndio utaweka wazi kuhusu ujenzi.”
Pia soma hapa
~ Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza
~ Hizi barabara mbovu Kigamboni na Chamazi, Serikali imeishiwa hela?