Meneja wa Diamond akamatwa tena, aswekwa rumande

Sasa sheikh inakuwaje anashirikiana na wanamuziki tena. Ishu sio kuuza CDs za mawaidha hapo ila kujichumia pesa zinazoambatana na mizikimziziki. Mradi gani Hui. Tena unamshitaki ili akulipe maburungutu ya pesa eti kwakuwa anazo na unazungumza unadai eti in hakimiliki. Maneno ya Allah hayana Haki miliki bhana. Bali uwe muungwana sheikh ununue licence uwe na kampuni yako uache madili na kazi za mungu.
 
Jaman! watu hawaridhiki na wakipatacho..mpaka wanaingilia kazi za dini?HATARI.
 
Yaani mahakama inaamuru mtu anayetengeneza dvd za uchochezi alipwe kisa hizo dvd hazijasambazwa?!

Huyo shehe alitakiwa kukamatwa na kuhojiwa kwanini anaandaa dvd za uchochezi...
 
Ina maana diamond na bilion 4 zake kashindwa kumlipia boss wake?
 
Huyu babu tale kaleta njaa sa kichok0 , unadhulumu mpaka mawaidha, kweli huo si ubinaadamu.
Afadhal mahakama ilivyomuwajibisha kwa upuuz wake
 
Lazima tuheshimiane Ahsante Magufuli hakuna alie juu ya sheria
 
Lazima wakamgombanie jela.. Na alivyo soft soft
Kwa chidi benz si ametumia sio chini ya milioni 40!! Angetumia hizo kupunguza deni
 
Lazima wakamgombanie jela.. Na alivyo soft soft
Na si Kwa chidi benz si ametumia sio chini ya milioni 40!! Angetumia hizo kupunguza deni
Milioni Nne au arobaini?
 
Milioni Nne au arobaini?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…