Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu, Manager wa Mwanamuziki DAVIDO aliyejulikana kama OBAMA na maarufu sana kwenye viunga vya Lagos nchini Nigeria amefariki ghafla baada ya moyo kusimama kushindwa kupumua..
Apumzike kwa Amani Mjuba OBAMa p
Apumzike kwa Amani Mjuba OBAMa p