Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kwamba mameneja wake wanaondoka kiajabuajbu Sana?Huyu ni kama mshkaji wa tatu wa davido anakufa kiajabu ajabu kuna mmoja alifia kwenye aprtment yake cha kushangaz a kesi ilitulizwa tu
Mtu akifa usingizini kuna kesi gani endapo vipimo vikionyesha hakuna alichofanyiwaHuyu ni kama mshkaji wa tatu wa davido anakufa kiajabu ajabu kuna mmoja alifia kwenye aprtment yake cha kushangaz a kesi ilitulizwa tu
Itakua changamoto ya upuamuaji Mkuu!Amefariki ghafla baada ya moyo kusimama kushindwa kupumua. 😰😰😰
Fatilia social media za huko naija kuhusu vifo vya watu w akaribu wa davido.....makafara ni kitu kibaya sana,mafanikio ya wengi ni mauzauza sana ni wachache mnooo wali o make it bila mauzauzaMtu akifa usingizini kuna kesi gani endapo vipimo vikionyesha hakuna alichofanyiwa
Nini tatizo au Yale masuala ya kinigeria. Halafu huyo jamaa alikuwa vizuri hata kabla hajaanza kufanya kazi na davido. Ni davido mwenyewe alimfuata. Ana Lebo yake kubwa tuu.. OBAMA Music.fatilia social media za huko naija kuhusu vifo vya watu w akaribu wa davido.....makafara ni kitu kibaya sana,mafanikio ya wengi ni mauzauza sana ni wachache mnooo wali o make it bila mauzauza
CoronaWakuu, Manager wa Mwanamuziki DAVIDO aliyejulikana kama OBAMA na maarufu sana kwenye viunga vya Lagos nchini Nigeria amefariki ghafla baada ya moyo kusimama kushindwa kupumua..
Apumzike kwa Amani Mjuba OBAMa pView attachment 1835932
Malizia tu hapo chini "kama Diamond"fatilia social media za huko naija kuhusu vifo vya watu w akaribu wa davido.....makafara ni kitu kibaya sana,mafanikio ya wengi ni mauzauza sana ni wachache mnooo wali o make it bila mauzauza
Once is chance, twice is coincidence, third time is a pattern - Ian FlemingHuyu ni kama mshkaji wa tatu wa davido anakufa kiajabu ajabu kuna mmoja alifia kwenye aprtment yake cha kushangaz a kesi ilitulizwa tu
Davido afanye makafara ili apate nini, kazaliwa kwenye familia ya kitajiri, baba yake mzazi ana utajiri zaidi ya USD 700mil hata hasipofanya mziki hela anayo. Hayo mawazo yenu na roho mbaya za kimasikini.fatilia social media za huko naija kuhusu vifo vya watu w akaribu wa davido.....makafara ni kitu kibaya sana,mafanikio ya wengi ni mauzauza sana ni wachache mnooo wali o make it bila mauzauza
Dali za wimbi la nane kwenye nchi Yao.Wakuu, Manager wa Mwanamuziki DAVIDO aliyejulikana kama OBAMA na maarufu sana kwenye viunga vya Lagos nchini Nigeria amefariki ghafla baada ya moyo kusimama kushindwa kupumua..
Apumzike kwa Amani Mjuba OBAMa pView attachment 1835932
Kuna mijitu vichwani mwao wanawaza uchawi tu ukafara na ufree mason!Davido afanye makafara ili apate nini, kazaliwa kwenye familia ya kitajiri, baba yake mzazi ana utajiri zaidi ya USD 700mil hata hasipofanya mziki hela anayo. Hayo mawazo yenu na roho mbaya za kimasikini.
Third waveamefariki ghafla baada ya moyo kusimama kushindwa kupumua.. [emoji27][emoji27][emoji27]
Mkuu kwani wewe hakuna watu wako wa karibu wanaokufa? dying is a necessary end.Nini tatizo au Yale masuala ya kinigeria. Halafu huyo jamaa alikuwa vizuri hata kabla hajaanza kufanya kazi na davido. Ni davido mwenyewe alimfuata. Ana Lebo yake kubwa tuu.. OBAMA Music.
Mwili umeachana na roho ghafla baada ya kupata matatizo ya kupumua.