Meneja wa Simba SC afungiwa mwaka mmoja kwa kuihujumu Taifa Stars

Meneja wa Simba SC afungiwa mwaka mmoja kwa kuihujumu Taifa Stars

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Habari wanaJF,

Meneja wa Simba Robert Richard amefungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka na faini ya Tsh milioni 4, Robert amekutwa na makosa mawili kuihujumu timu ya taifa kwa kutotii maagizo ya TFF na kuchelewesha wachezaji wa Simba kufika kambini Taifa Stars

======

Wachezaji wa Simba waliokuwa wameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa 'Taifa Stars', waliondolewa katika kikosi hicho baada ya kushindwa kuwasili kambini kwa wakati.

Wachezaji hao ni pamoja na John Bocco 'Adebayor', Shiza Kichuya, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Hassan Dilunga na Shomari Kapombe.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidau, alisema Kocha, Emmanuel Amunike, amefanya maamuzi hayo baada ya kushangazwa na jinsi ambavyo wachezaji wa Tanzania wamekuwa wakijivuta wanapoitwa timu ya taifa.

Chanzo: Mwananchi
 
Habari wanaJF,

Meneja wa Simba Robert Richard amefungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka na faini ya Tsh milioni 4, Robert amekutwa na makosa mawili kuihujumu timu ya taifa kwa kutotii maagizo ya TFF na kuchelewesha wachezaji wa Simba kufika kambini Taifa Stars



======

Wachezaji wa Simba waliokuwa wameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa 'Taifa Stars', waliondolewa katika kikosi hicho baada ya kushindwa kuwasili kambini kwa wakati.

Wachezaji hao ni pamoja na John Bocco 'Adebayor', Shiza Kichuya, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Hassan Dilunga na Shomari Kapombe.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidau, alisema Kocha, Emmanuel Amunike, amefanya maamuzi hayo baada ya kushangazwa na jinsi ambavyo wachezaji wa Tanzania wamekuwa wakijivuta wanapoitwa timu ya taifa.

Chanzo: Mwananchi
Akomee mwanaaaizyaaa
 
Habari wanaJF,

Meneja wa Simba Robert Richard amefungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka na faini ya Tsh milioni 4, Robert amekutwa na makosa mawili kuihujumu timu ya taifa kwa kutotii maagizo ya TFF na kuchelewesha wachezaji wa Simba kufika kambini Taifa Stars

======

Wachezaji wa Simba waliokuwa wameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa 'Taifa Stars', waliondolewa katika kikosi hicho baada ya kushindwa kuwasili kambini kwa wakati.

Wachezaji hao ni pamoja na John Bocco 'Adebayor', Shiza Kichuya, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Hassan Dilunga na Shomari Kapombe.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidau, alisema Kocha, Emmanuel Amunike, amefanya maamuzi hayo baada ya kushangazwa na jinsi ambavyo wachezaji wa Tanzania wamekuwa wakijivuta wanapoitwa timu ya taifa.

Chanzo: Mwananchi
Ni dhahiri kuwa bwana Richard ni Mbuzi wa Kafara ili kulinda uongozi kwani kwa hali ya kawaida hayumkiniki kupingana na uamuzi wa uongozi.
 
TFF inavyojidai iko Serious na soka unaweza kudhani wana mikakati yoyote ya manufaa kumbe hakuna lolote.
Huu pia ni mkakati wa nidhamu, next time utashuhudia wachezaji wote wanaripoti kambini siku moja.

Mchezaji asiyekuwa na nidhamu ndio huwa wanazigharimu timu kwa kadi nyekundu za kifala na kutowa penati za kiboya, matokeo yake unaighairimu timu nzima na Taifa zima.
 
kinchi cha kingese na mambo ya kingese,hatuna tujualo kila mtu mjinga tu.
 
Back
Top Bottom