Meneja wa Simba SC afungiwa mwaka mmoja kwa kuihujumu Taifa Stars

Meneja wa Simba SC afungiwa mwaka mmoja kwa kuihujumu Taifa Stars

Mi nimejitoa kwenye hilo kundi, uzuri wewe ndiyye unaye liongoza
mjinga huwa hajijuagi,mimi ni mjinga kweli kwasababu kuna vitu sivijui na ndio ujinga wenyewe.kutokujijua na kujiellewa ni ujinga mkubwa kuliko ujinga wenyewe.
 
Ni ujinga tu. Na hapo utajiuliza kile kikao cha Simba na TFF kilikuwa na maana gani? Si walisema wameyamaliza?
...ndo wamemalizia kwa meneja, bila kikao wangejuaje aliyechangia huo ujinga ?
 
mjinga huwa hajijuagi,mimi ni mjinga kweli kwasababu kuna vitu sivijui na ndio ujinga wenyewe.kutokujijua na kujiellewa ni ujinga mkubwa kuliko ujinga wenyewe.
Aiseeeh...wewe mjinga sanaa ! Maana mpaka unajichanganya, mara unajijua mara hujijui....basi ujinga ujinga tuu !
 
asiyejijua hatajijua sio kila tusi hurushwa moja kwa moja.
...akili za ushuzi hizoo
Screenshot_20180905-205225.jpg
 
Adhabu imeshatoka wadau hoja mnazojibizana hazimnasui meneja kukaa mwaka mmoja nje ya soka
 
Huyu alitakiwa afungiwe maisha kwasababu alilihujumu Taifa
 
Back
Top Bottom