Meneja wa TANROADS nchini asema daraja la Kiyegeya limekatika kwa uchakavu. Je, Waziri Mkuu kumuondoa Meneja TANROADS-Morogoro alimuonea?

Waziri mkuu kamwondia Meneja kwasababu kipenyo kilikua kidogo kwasababu kiliziba kwa mchanga uliojikusanya mvua iliponyesha awali. Sidhani hiyo ndio sababu
 
Masanjaone, naunga mkono hoja
 
Ni sawa ila mbona yote ayajasombwa na maji? Kama waandis wangekagua kuna kitu wangegundua na kuchukia hatua, daraja alisombiti kama gogo, lilianza taratibu.....

Kwani kazi hasa ya ao waandis ni ipi? Ata mimi kazini kwangu kuna vitu baada ya siku mbili lazima nichek, ata usafir wako lazima uuchek kama upo sawa baada ya muda flan.....
Madaraja yote njia hiyo ni chakavu
.hujaelewa nn? Serikali hii haina fedha tu.kwani nchi nzima unajua machakavu yanapungua 100?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama anajua ni kawaida kwanini hawakuchukua hatua ya kuliondoa what if lingekatika gari ikiwa inapita juu yake na watu wakapoteza maisha?
 
Hiyo ni taaluma yake na nikazi yake....
Mpaka daraja linasombwa kulia na wear and tear za muda mrefu ......
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipendi kumuingilia waziri mkuu wakati akitumia mamlaka yake kikatiba kuamua hili ama lile.. Swali hili limenipa kigugumizi na mtanziko mkubwa nafsini mwangu.. But nipende kusema kuwa tungeanza na kuwang'oa wale ambao hawakukagua reli mpaka kipande cha km 120 kikabebwa na maji if we want to be fair na kuepuka double standards... Haki itendeke kwa watu wa makabila yote maana mito iloyoharibu reli ndiyo hii iliyong'oa makalavati.
To be much fair tuchukulie haya kama maafa ama act of God kuliko kuyachukulia kama negligence!
 
Natumaini Mhe Waziri Mkuu angefanya utafiti kwanza kabla ya kumrudisha Meneja wa Tanroads- Morogoro Wizarani.
 
PM yuko sawa licha ya kua limesombwa kwa uchakavu lakin Muhandisi usikanalitakiwa kutoa taarifa kama lilikua kwenye hatari libadilishwe.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Daraja la Wami Dakawa,

siku na wakati wowote litatuadhili,

ukiwa pale darajani kwa miguu, Kisha gari likapita huwezi amini macho yako,

daraja linatikisika utafikiri ndiyo mwisho wake.
 

Ubovu wa hilo daraja ulikuwa unajulikana,

na siyo Hilo TU yapo mengi tu.

Kama daraja la Ruaha Mkuu pale Ruaha Mbuyuni lilikatika na hakuna aliyeadhibiwa.

Maji ni mengi kuliko uwezo wa daraja = Mvua NI kubwa kuliko makisio ya Wajenzi wa daraja.

Engineer Mfugale mtetee Huyo Mhandisi, mbali ya madaraja Kuna MASHIMO HATARISHI na mengi yalishasababisha ajali nyingi tu, si kwamba hakuna taarifa ya kuwepo kwake.

Mhandisi anaomba hela, ombi linakaa kwenye droo.

Hata ajali ya AZAM TV kule Shelui chanzo ni mashimo barabarani.
 
Majaliwa namuona kama kilaza asiyejiamini anayeiga ukali wa boss wake kama kick.Kila anakopitia yeye ni kusimamisha watu kazi ili aonekane yuko serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…