IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
Masanjaone, naunga mkono hojaKumbe mfugale anajua yalishachoka! Kama unajua hilo maana yke uangalizi unatakiwa kuwa karibu sana.
Mi naona mfugare nibola asingeongea hilo. Hii nikutaka kutuaminisha kuwa ipo cku watu watakufa kwatatizo wanalolijua wataaram wetu!
Ndo maana kule mwanza magu daraja la mto simiyu limeanza kufanyiwa ukarabati kila siku usiku.
Ndo inavyotakiwa siyo baada ya tatizo unasema wanajua.
Madaraja yote njia hiyo ni chakavu
.hujaelewa nn? Serikali hii haina fedha tu.kwani nchi nzima unajua machakavu yanapungua 100?
Kama anajua ni kawaida kwanini hawakuchukua hatua ya kuliondoa what if lingekatika gari ikiwa inapita juu yake na watu wakapoteza maisha?Wakati meneja wa Tanroads mkoani Morogoro, Godfrey Andalwisye akiondolewa kwa madai ya kutokagua miundombinu, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo, Patrick Mfugale amesema barabara ya Morogoro-Dodoma ni chakavu kwa kuwa imejengwa muda mrefu.
Kauli hiyo ya Mfugale imekuja siku moja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuagiza Andalwisye arudishwe makao makuu kutokana na kutokagua barabara hiyo ambayo daraja lake la Kiyegeya lililoko wilayani Kilosa lilisombwa na maji.
Waziri Mkuu, ambaye juzi alikuwa ameenda eneo hilo kushuhudia ujenzi wa daraja hilo, alishangaa kuona mkoa wenye wahandisi 12, kushindwa kufanya ukaguzi wa barabara na madaraja.
Lakini jana, Mfugale alisema barabara hiyo ilijengwa miaka 40 iliyopita na hivyo imeshatumika muda mrefu ndio maana kila mara wamekuwa wakiifanyia ukarabati.
Alisema kukatika kwa daraja hilo ni jambo la kawaida kiutaalamu kwa kuwa uhai wa makalavati yanayowekwa si zaidi ya miaka 25.
Alisema tayari Serikali iko katika mchakato wa kuijenga upya barabara hiyo na madaraja yake.
Life Span ni 100 yrs lakini kuna kama miaka ,40 toka lijengwe je hapo unamlaumu vipi mtaalam? Suala la kukagua hata kama lipo je anavifaa vya kuonesha ubovu wa daraja au ndo anakagua kwa kuchungulia kwa macho kama polisi wa usalama barabarani wanavyokagua magari?
PM yuko sawa licha ya kua limesombwa kwa uchakavu lakin Muhandisi usikanalitakiwa kutoa taarifa kama lilikua kwenye hatari libadilishwe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mfugale anajua yalishachoka! Kama unajua hilo maana yke uangalizi unatakiwa kuwa karibu sana.
Mi naona mfugare nibola asingeongea hilo. Hii nikutaka kutuaminisha kuwa ipo cku watu watakufa kwatatizo wanalolijua wataaram wetu!
Ndo maana kule mwanza magu daraja la mto simiyu limeanza kufanyiwa ukarabati kila siku usiku.
Ndo inavyotakiwa siyo baada ya tatizo unasema wanajua.
Majaliwa namuona kama kilaza asiyejiamini anayeiga ukali wa boss wake kama kick.Kila anakopitia yeye ni kusimamisha watu kazi ili aonekane yuko seriousWakati meneja wa Tanroads mkoani Morogoro, Godfrey Andalwisye akiondolewa kwa madai ya kutokagua miundombinu, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo, Patrick Mfugale amesema barabara ya Morogoro-Dodoma ni chakavu kwa kuwa imejengwa muda mrefu.
Kauli hiyo ya Mfugale imekuja siku moja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuagiza Andalwisye arudishwe makao makuu kutokana na kutokagua barabara hiyo ambayo daraja lake la Kiyegeya lililoko wilayani Kilosa lilisombwa na maji.
Waziri Mkuu, ambaye juzi alikuwa ameenda eneo hilo kushuhudia ujenzi wa daraja hilo, alishangaa kuona mkoa wenye wahandisi 12, kushindwa kufanya ukaguzi wa barabara na madaraja.
Lakini jana, Mfugale alisema barabara hiyo ilijengwa miaka 40 iliyopita na hivyo imeshatumika muda mrefu ndio maana kila mara wamekuwa wakiifanyia ukarabati.
Alisema kukatika kwa daraja hilo ni jambo la kawaida kiutaalamu kwa kuwa uhai wa makalavati yanayowekwa si zaidi ya miaka 25.
Alisema tayari Serikali iko katika mchakato wa kuijenga upya barabara hiyo na madaraja yake.